Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shujaa wa riadha asiyesahaulika

Miongoni mwa viongozi watakaokumbukwa katika sekta ya michezo nchini, bila shaka huwezi kuacha kumtaja aliyewahi kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama wa Kwanza (CDF), Jenerali Mirisho Sarakikya aliyefanya kazi wakati wa utawala wa Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Riadha wajichimbia Keko

WANARIADHA wa timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola mjini Glasgow, Scotland kuanzia Julai 23 hadi Agosti 3, wamepiga kambi eneo la Keko, jijini Dar es Salaam huku...

 

11 years ago

Mwananchi

Riadha taifa ni aibu

Ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Ndivyo ilivyokuwa kwenye mashindano ya taifa ya riadha yaliyoanza jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

RT: Mikoa inaua riadha

RIADHA Tanzania (RT) imeitupia lawama mikoa kwa kushindwa kuendeleza mchezo huo nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Haile Gebrselassie astaafu riadha

Haile Gebrselassie ametamka bayana kustaafu mbio za ushindani ,Haile ana umri wa miaka arobaini na miwili asili yake ni Ethiopia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RT yakiri kuchemsha riadha taifa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amekiri mbio za taifa kufanyika chini ya kiwango kutokana na kukosa maandalizi mazuri, hivyo kuwepo kwa dosari kiasi cha kushusha...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Kocha bora ataibeba riadha’

Mwanariadha wa zamani, Juma Ikangaa amesema kikosi cha timu ya taifa cha riadha kilichoteuliwa kwa ajili ya Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Glasgow, Scotland kitakuwa na tija kama watafundishwa na kocha mwenye upeo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uganda mwenyeji riadha Afrika

Uganda itakuwa mwenyeji wa michuano ya riadha ya Afrika itakayofanyika mwishoni mwa mwezi huu nchi za Afrika kushiriki.

 

11 years ago

Mwananchi

Kiplagat anavyoendeleza riadha Kenya

Lornah Kiplagat ni mwanariadha mzaliwa wa Kenya mwenye uraia wa Uholanzi anayekimbia mbio ndefu. Kiplagat alizaliwa huko Kabiemit, Kenya mwaka 1974.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani