Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiplagat anavyoendeleza riadha Kenya

Lornah Kiplagat ni mwanariadha mzaliwa wa Kenya mwenye uraia wa Uholanzi anayekimbia mbio ndefu. Kiplagat alizaliwa huko Kabiemit, Kenya mwaka 1974.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Riadha Kenya yalaumiwa

Shirikisho la mchezo wa riadha nchini Kenya yalaumiwa kutochukua hatua dhidi ya wanariadha watundu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Riadha Kenya yawakana wakimbiaji

CHAMA cha Riadha Kenya (AK), kimesema hakina taarifa za wanariadha wake kwenda Tanzania kushiriki mashindano mbalimbali mwaka huu. Desemba 4 mwaka huu yalifanyika mashindano ya Serengeti Marathon na Desemba 8...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yafuta leseni za wakala wa riadha

AK imewapiga marufuku Federico Rosa wa Italia na Gerald Vandeveen wa Uholanzi kwa miezi sita wakishukiwa kuhusika na dawa za kuongeza nguvu

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisa wa riadha Kenya anachunguzwa na IAAF

Naibu rais wa shirikisho la riadha la Kenya, AK David Okeyo, anatuhumiwa kwa 'kuiba pesa zilizolipwa na kampuni ya kutengeneza bidhaa za michezo Nike'.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kuandaa Mashindano ya riadha 2017?

Kenya huenda ikatangazwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashidano ya dunia ya riadha kwa vijana mwaka 2017.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezo wa Riadha watiwa dosari Kenya

Ripoti zinadai Kenya ni miongoni mwa nchi ambazo wanaraidha wake hutumia dawa za kusisimua misuli katika michezo ya Olimpiki

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wakuu wa riadha Kenya wapigwa marufuku

Kamati ya maadili ya shirikisho la riadha duniani IAAF limewapiga marufuku kwa muda viongozi watatu wa shirikisho la riadha la Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afisi za riadha Kenya zimefungwa siku ya pili

Wanariadha wanaendelea kuzingira makao makuu ya shirikisho la riadha la Kenya AK kwa siku ya pili mfululizo kufuatia madai ya kukithiri kwa ufisadi afisini humo.

 

10 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHONI YAPAMBA MOTO,KLABU YA RIADHA YA HOLILI YAPELEKA WANARIADHA WAKE MAZOEZINI KENYA

Mkurugenzi wa klabu ya riadha ya Holili (HYAC) Domician Genand akizungumza juu ya maandalizi ya mbio za kimataifa za Kilimanjaro Maratahoni kwa wanariadha wake ambao baadhi yao amewapeleka nchini Kenya kwa ajili ya mazoezi.Baadhi ya wanariadha walioko katika kambi ya klabu ya riadha ya Holili wakicheza Draft ambapo miongoni mwao yumo mkimbiaji wa Kimataifa ,Osward Levelian ambaye anajiandaa na Mbio za Marathoni kilometa 42 zitakazofanyika nchini Nchina hivi karibuni.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani