Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezo wa Riadha watiwa dosari Kenya

Ripoti zinadai Kenya ni miongoni mwa nchi ambazo wanaraidha wake hutumia dawa za kusisimua misuli katika michezo ya Olimpiki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete asaidie uwekezaji kwenye mchezo wa riadha

KATIKA miaka ya 1980, aliyekuwa Rais wa Kenya, Daniel Arap Moi, aliyepokea kijiti kutoka kwa Mwasisi wa Taifa hilo, Jomo Kenyatta, aliutazama mchezo wa riadha na kubaini, ulihitaji mageuzi makubwa...

 

10 years ago

Michuzi

DK. SHEIN ATOA VIFAA VYA MCHEZO WA RIADHA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiwapa mawaidha yake mafupi viongozi wa mchezo wa Riadha walipofika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo katika hafla ya kuwakabidhi vifaa alivyoviandaa kwa Mchezo huo katika Wilaya kumi za Unguja na Pemba katika mpango wake wa kuimarisha na kuupa nguvu mchezo huo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi vifaa vya Riadha Katibu wa mchezo huo Wilaya ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

John Stephen Akhwari : Nguli mchezo wa riadha aliyeweka historia ya kimataifa

JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.

Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauli yake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathoni katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968.

While+competing+in+the+marathon+in+mexico+city+akhwari+fell+_e59c8e38475b9f8163e0152ea6e7b3a8

101_0424

JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha.

Kwanini ANAKUMBUKWA?:

Wengi wamajiuliza mkongwe huyo wa riadha kwanini...

 

10 years ago

Michuzi

JOHN STEPHEN AKHWARI :NGULI MCHEZO WA RIADHA ALIYEWEKA HISTORI YA KIMATAIFA

JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa
hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.
Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauliyake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathonikatika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968

JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha


BOFYA HAPA KUSOMA ZAID MAKALA YAKE

 

11 years ago

Mwananchi

Kiplagat anavyoendeleza riadha Kenya

Lornah Kiplagat ni mwanariadha mzaliwa wa Kenya mwenye uraia wa Uholanzi anayekimbia mbio ndefu. Kiplagat alizaliwa huko Kabiemit, Kenya mwaka 1974.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Riadha Kenya yawakana wakimbiaji

CHAMA cha Riadha Kenya (AK), kimesema hakina taarifa za wanariadha wake kwenda Tanzania kushiriki mashindano mbalimbali mwaka huu. Desemba 4 mwaka huu yalifanyika mashindano ya Serengeti Marathon na Desemba 8...

 

9 years ago

BBCSwahili

Shirikisho la Riadha Kenya yalaumiwa

Shirikisho la mchezo wa riadha nchini Kenya yalaumiwa kutochukua hatua dhidi ya wanariadha watundu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya yafuta leseni za wakala wa riadha

AK imewapiga marufuku Federico Rosa wa Italia na Gerald Vandeveen wa Uholanzi kwa miezi sita wakishukiwa kuhusika na dawa za kuongeza nguvu

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenya kuandaa Mashindano ya riadha 2017?

Kenya huenda ikatangazwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashidano ya dunia ya riadha kwa vijana mwaka 2017.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani