Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


John Stephen Akhwari : Nguli mchezo wa riadha aliyeweka historia ya kimataifa

JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.

Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauli yake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathoni katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968.

While+competing+in+the+marathon+in+mexico+city+akhwari+fell+_e59c8e38475b9f8163e0152ea6e7b3a8

101_0424

JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha.

Kwanini ANAKUMBUKWA?:

Wengi wamajiuliza mkongwe huyo wa riadha kwanini...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JOHN STEPHEN AKHWARI :NGULI MCHEZO WA RIADHA ALIYEWEKA HISTORI YA KIMATAIFA

JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa
hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.
Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauliyake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathonikatika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968

JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha


BOFYA HAPA KUSOMA ZAID MAKALA YAKE

 

10 years ago

BBCSwahili

Mchezo wa Riadha watiwa dosari Kenya

Ripoti zinadai Kenya ni miongoni mwa nchi ambazo wanaraidha wake hutumia dawa za kusisimua misuli katika michezo ya Olimpiki

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kikwete asaidie uwekezaji kwenye mchezo wa riadha

KATIKA miaka ya 1980, aliyekuwa Rais wa Kenya, Daniel Arap Moi, aliyepokea kijiti kutoka kwa Mwasisi wa Taifa hilo, Jomo Kenyatta, aliutazama mchezo wa riadha na kubaini, ulihitaji mageuzi makubwa...

 

10 years ago

Michuzi

DK. SHEIN ATOA VIFAA VYA MCHEZO WA RIADHA LEO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) alipokuwa akiwapa mawaidha yake mafupi viongozi wa mchezo wa Riadha walipofika ukumbi wa Ikulu Mjini Unguja leo katika hafla ya kuwakabidhi vifaa alivyoviandaa kwa Mchezo huo katika Wilaya kumi za Unguja na Pemba katika mpango wake wa kuimarisha na kuupa nguvu mchezo huo.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi vifaa vya Riadha Katibu wa mchezo huo Wilaya ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Historia ya John Magufuli wa CCM

Historia fupi ya mgombea kiti cha urais wa chama tawala cha CCM Daktari John Pombe Joseph Magufuli

 

5 years ago

Michuzi

Mchezo wa Ngumi Warejesha Heshima ya Tanzania Kimataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Wachezaji wa timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars
ambao walifika Ikulu Machi 25, 2019 mara baada ya kufanikiwa kufuzu kushiriki Fainali za michuano ya Mataifa ya Africa AFCON baada ya kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda The Cranes magoli 3-0 jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,...

 

11 years ago

Michuzi

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' aipiga jeki Uhuru Gym

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' katikati akiwa na baadhi ya mabondia wanaofanya mazoezi katika GYM ya Uhuru uwanja wa Basket, Kariakoo kutoka kushoto ni Atanasi kibwe,Omari Bai, Raymond Mbwago ,Mussa Sindano Vifaa na kocha wa GYM hiyo Mohamed Chipota  Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini, Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akikabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi Gloves pamoja na DVD za mafunzo ya mchezo kwa Kocha wa GYM ya Uhuru uwanja wa...

 

10 years ago

Michuzi

KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015

Klabu ya michezo ya riadha ya Dar Es Salaam “Dar Running Club” (DRC) imeandaa mashindano  ya  mbio yajulikananyo kama “Mayday marathon” yatakayofanyika tarehe 02Mei 2015 yatakayoanza na kumalizika katika viwanja vya Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay (Police Officers Mess). Mgeni rasmi atakuwa ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania  Inspekta Generali wa Police Ernest Jumbe Mangu (IGP).
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...

 

5 years ago

Michuzi

UBALOZI WA INDIA NCHINI TANZANIA WAZUNGUMZIA SIKU YA KIMATAIFA YA MCHEZO WA YOGA ULIMWENGUNI KOTE, WAANDAA SHINDANO MAALUMU KUELEKEA JUNI 21,2020

 Balozi wa India nchini Tanzania Balozi wa India nchini Sanjiv Kohli(katikati) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu siku ya kimataifa ya mchezo wa Yoga ulimwenguni ambayo hufanyika kila Juni 21 ya kila mwaka ambapo ametumia nafasi hiyo kuhamasisha Watazania kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya mwili.Wengine ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Swami Vivekananda  Santhoth Raja(kushoto) na Balozi Msaidizi wa Ubalozi wa India nchini Tanzania R.Chandramouli(kulia).  Balozi wa India...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani