Kikwete asaidie uwekezaji kwenye mchezo wa riadha
KATIKA miaka ya 1980, aliyekuwa Rais wa Kenya, Daniel Arap Moi, aliyepokea kijiti kutoka kwa Mwasisi wa Taifa hilo, Jomo Kenyatta, aliutazama mchezo wa riadha na kubaini, ulihitaji mageuzi makubwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Mchezo wa Riadha watiwa dosari Kenya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Hhl2kKcSPAM/VJqxD7RLHCI/AAAAAAAG5gk/R5zTDgIQJAY/s72-c/IMG_7611.jpg)
DK. SHEIN ATOA VIFAA VYA MCHEZO WA RIADHA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Hhl2kKcSPAM/VJqxD7RLHCI/AAAAAAAG5gk/R5zTDgIQJAY/s1600/IMG_7611.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Bx8mDZ-2sMY/VJqxNESUNZI/AAAAAAAG5gs/sfg_aOvKl28/s1600/IMG_7645.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
John Stephen Akhwari : Nguli mchezo wa riadha aliyeweka historia ya kimataifa
JOHN Stephen Akhwari ni miongoni mwa wanariadha wenye historia kubwa hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.
Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauli yake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathoni katika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968.
JOHN Stephen Akhwari akiwa na baadhi ya medalii zake alizozipata katika mashindono ya riadha.
Kwanini ANAKUMBUKWA?:
Wengi wamajiuliza mkongwe huyo wa riadha kwanini...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8OubKHohgU0/VJlCS9N4MaI/AAAAAAAG5Ws/8zZ_6UOl8v8/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-23%2Bat%2B1.21.05%2BPM.png)
JOHN STEPHEN AKHWARI :NGULI MCHEZO WA RIADHA ALIYEWEKA HISTORI YA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-8OubKHohgU0/VJlCS9N4MaI/AAAAAAAG5Ws/8zZ_6UOl8v8/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-23%2Bat%2B1.21.05%2BPM.png)
hapa nchini kutokana na umahiri wake katika mchezo huo.
Akhwari anakumbukwa sana katika Michezo ya Olimpiki kutokana na kauliyake ya kizalendo aliyoitoa wakati aliposhiriki mbio za marathonikatika Michezo ya Olimpiki iliyofanyika huko Mexico mwaka 1968
BOFYA HAPA KUSOMA ZAID MAKALA YAKE
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Waziri Mkuu Pinda amwakilisha Rais Kikwete kwenye mjadala wa uwekezaji Afrika- London
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza kwenye mjadala kuhusu fursa za uwekezaji barani Afrika kwenye hoteli ya Savoyy , London, Oktoba 20/10/14.Wengine pichani ni Rais Yoweri Museveni wa Uganda Rais wa Gahana,John Mahama na Rais wa Rwanda Paul Kagame. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s72-c/New%2BPicture.png)
KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s1600/New%2BPicture.png)
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Rais Kikwete akabidhi bendera timu ya taifa ya riadha itayoshiriki michuano ya jumuiya ya madola huko Glasgow, Scotland
Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
10 years ago
Habarileo05 Aug
Kikwete: CCM siyo chama cha mchezo
MWENYEKITI wa Taifa wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema chama hicho sio chama cha mchezo na kuvionya vyama vya upinzani kuwa watakiona cha mtema kuni katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.