Mawaziri Membe na Mwandosya wamzungumzia Karume
>Makada wa Chama cha Mapimduzi(CCM) wanaotajwa kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu ujao, wamesema yapo mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, marehemu Sheikh Abeid Amani Karume aliyoyafanya katika miaka minane ya uongozi wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Jun
Membe: Nitamuunga mkono Mwandosya
MAWAZIRI wawili wa serikali ya Rais Jakaya Kikwete, Bernard Membe na Profesa Mark Mwandosya ambao wote wanaomba kugombea urais kupitia CCM kuungana katika harakati zao za kuwania kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya Rais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Membe: Nikikatwa jina CCM nitakuwa wa Mwandosya
NA WAANDISHI WETU
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema endapo Kamati Kuu ya CCM haitalipitisha jina lake kuwania urais mwaka huu, kura yake ataipeleka kwa kada wa chama hicho, Profesa Mark Mwandosya.
Amesema atafikia uamuzi huo kwa kile alichodai kuwa yeye na Profesa Mwandosya ndio wanakidhi vigezo 13 vilivyowekwa na CCM kumpata mgombea urais.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini Mbeya, alipokuwa akitafuta wadhamini, ambapo alisema Profesa Mwandosya amebahatika...
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Membe: Nikikatwa nitampigia kampeni Profesa Mwandosya
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s72-c/1.jpg)
WAZIRI BERNARD MEMBE ATEMBELEA KABURI LA HAYATI ABEID AMAN KARUME MJINI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-mT6vCwfJACM/VXzDxILY_jI/AAAAAAADrR0/xz9SmVYJQe8/s640/1.jpg)
10 years ago
Vijimambo24 Jun
Mwinyi, Mkapa kuwajadili wakina Membe, Lowassa.Waitwa pia Malecela, Karume, Dk. Salmin, Msekwa athibitisha kuandaa kikao.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Pius-24June2015.jpg)
Wakati joto la kusaka nafasi ya kuteuliwa kuwania urais kwa tikiti ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) likiwa linazidi kupanda, Baraza la Ushauri wa Wazee linajipanga kukutana baada ya kikao kilichokuwa kifanyike leo kuahirishwa.
Katibu wa Baraza hilo, Pius Msekwa, aliiambia NIPASHE jana kuwa kikao cha leo kimeahirishwa kutokana na baadhi ya viongozi wakuu wa chama kuwa safarini, kwani walikuwa wamewaalika kwenye mkutano wao uliokuwa ufanyike jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho ni...
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AONGOZA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA MADOLA
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Membe aongoza Mawaziri wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye mazungumzo nchini Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-WUmgOd_zFgc/VUtSk2zDkKI/AAAAAAAHV6E/ASSGCEz5U84/s640/unnamed%2B(82).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s72-c/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)
Membe aongoza mkutano wa Kikosi Kazi cha Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s1600/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)