Membe: Nikikatwa nitampigia kampeni Profesa Mwandosya
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema kama CCM haitampitisha kuingia tano bora, atampigia kampeni kwa moyo wa dhati Profesa Mark Mwandosya iwapo ataingia fainali ya kuwania kuteuliwa na chama hicho kugombea urais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Membe: Nikikatwa jina CCM nitakuwa wa Mwandosya
NA WAANDISHI WETU
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema endapo Kamati Kuu ya CCM haitalipitisha jina lake kuwania urais mwaka huu, kura yake ataipeleka kwa kada wa chama hicho, Profesa Mark Mwandosya.
Amesema atafikia uamuzi huo kwa kile alichodai kuwa yeye na Profesa Mwandosya ndio wanakidhi vigezo 13 vilivyowekwa na CCM kumpata mgombea urais.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini Mbeya, alipokuwa akitafuta wadhamini, ambapo alisema Profesa Mwandosya amebahatika...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s72-c/unnamed+(53).jpg)
profesa mwandosya ziarani Burundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
MichuziPROFESA MARK MWANDOSYA ANENA
Nilidhani leo mitandao yote ingesheni habari hiyo kubwa. Kumbe nami nimekuwa "staa" katika mitandao ya kijamii. Kuanzia asubuhi nimekuwa nikipokea na kujibu simu mbalimbali nikiulizwa maoni yangu kuhusu tukio la jana, kuhusu mchakato wa Dodoma...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s72-c/unnamed+(12).jpg)
profesa mwandosya atembelea rwanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s1600/unnamed+(12).jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Safari ya maisha ya Profesa Mwandosya
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Mpambano wa Profesa Mwandosya na Zitto Kabwe
WIKI iliyopita, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, alitoa wito kwa watu wanaotaka urais
Mwandishi Wetu
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Profesa Mark Mwandosya ziarani Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s1600/unnamed+(51).jpg)