profesa mwandosya atembelea rwanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Waziri wa nchi ofisi ya Rais Mhe.Prof.Mark J.Mwandosya akizungumza na Mawaziri wa Rwanda.Kutoka kulia ni waziri ofisi ya Rais Mhe.Venantie Tugireyezo, Waziri wa mambo ya nje Mhe.Louise Mushikiwabo pamoja na kaimu balozi wa Tanzania nchini Rwanda Bw. Francis Mwaipaja
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q33HuHd-AXQ/VLn6yCKSaHI/AAAAAAAG96Q/R1SzHzimPSY/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
PROFESA MWANDOSYA ATEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MEROWE, SUDAN
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Profesa Mark Mwandosya ambaye yuko katika ziara ya kikazi nchini Sudan jana amtembelea moja ya miradi mikubwa ya kuzalisha umeme kwa kutumia mabwawa ambao unaendeshwa na Kampuni ya Merowe Dam Electricity Company. Mradi huu ambao uko Kaskazini mwa Nchi ya Sudan umejengwa kwa gharama ya USD 2.0 milioni ambapo Serikali ya Sudan imechangia 30% na zilizobaki ilikuwa misaada na mikopo kutoka kwa wafadhiliMradi umejengwa kando kando ya Mto Nile na una...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Profesa Mwandosya atembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia
Akiwa ziarani Ethiopia Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya Mwandosya ametembelea mradi wa ujenzi wa Bwawa Kuu la Ethiopia (Great Ethiopian Renaissance Dam-GERD).Ujenzi utakapokamilika mwaka 2017 GERD litazalisha MW 6000 za umeme na kuwa mradi mkubwa wa aina yake Afrika na wa nane kwa ukubwa duniani. Mradi unahusu ujenzi wa bwawa kwenye Mto Blue Nile, kilomita 850 kutoka Addis Ababa.
Waziri wa Nchi (Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya Mwandosya...
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZkqDdlPw_gs/VFM8Wsq1pnI/AAAAAAAGuUs/VYMfTF9N10g/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Jn0HiigvFFyLwnmq3hb-rWydysBqZUxmsvBFc8DUQJE15pxwFfndhmfeZGa3mgHOr5*i-cATX5rsgb7Airvtspy83HUK0L9Z/unnamed1.jpg?width=650)
PROFESA MWANDOSYA ATEMBELEA BWAWA LA KUZALISHA UMEME LA MEROWE, SUDAN
Prof. Mwandosya, (wa pili mbele) ,na ujumbe wake, wakipata maelezo kutoka kwa Mhandisi Ashraf Mustafa,kuhusu usimamizi,udhibiti,na uendeshaji wa mitambo ya kuzalisha umeme. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum) Profesa Mark Mwandosya ( wa sita toka kushoto) na ujumbe wake wakiwa na Uongozi wa Bwawa la Umeme la Merowe wakiwa mbele ya Kitoleo cha Maji(Spillway)… ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-66XXTCoU5u0/UvsOX08NyTI/AAAAAAAFMc0/kiYxTCK3YTA/s72-c/unnamedn.jpg)
Waziri Mwandosya atembelea makumbusho ya Genocide nchini Rwanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-66XXTCoU5u0/UvsOX08NyTI/AAAAAAAFMc0/kiYxTCK3YTA/s1600/unnamedn.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-I6l4a71Wjc4/UvsOoZc32VI/AAAAAAAFMc8/ODlrqnNhqQ4/s1600/unnamed,.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Oct
Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)
10 years ago
MichuziPROFESA MARK MWANDOSYA ANENA
Nilidhani leo mitandao yote ingesheni habari hiyo kubwa. Kumbe nami nimekuwa "staa" katika mitandao ya kijamii. Kuanzia asubuhi nimekuwa nikipokea na kujibu simu mbalimbali nikiulizwa maoni yangu kuhusu tukio la jana, kuhusu mchakato wa Dodoma...
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Safari ya maisha ya Profesa Mwandosya
Wahenga walishasema maisha ni safari ndefu. Ni ukweli ulio dhahiri kwamba viongozi wengi wanaolitumikia taifa hili katika nyadhifa kubwa na tofauti wamepita katika hatua nyingi za maisha tangu kuzaliwa kwao.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s72-c/unnamed+(53).jpg)
profesa mwandosya ziarani Burundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s1600/unnamed+(53).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania