Profesa Mwandosya alonga
NA SOLOMON MWANSELE, MBEYA
ALIYEKUWA mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Mark Mwandosya, amesema suala la wabunge kuwajibishwa na wananchi, halipo katika katiba ya nchi yoyote duniani.
Imeelezwa wajumbe wa Bunge hilo waliangalia na kuzipitia katiba nyingi, lakini hawakuona hata moja iliyowapa uwezo wananchi kumwajibisha mbunge.
Profesa Mwandosya aliyasema hayo, alipokuwa akijibu swali aliloulizwa kwanini katiba iliyopendekezwa haikuweka kifungu hicho kama wananchi walivyopendekeza...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Safari ya maisha ya Profesa Mwandosya
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s72-c/mwandosya.jpg)
PROFESA MWANDOSYA ANENA YA MOYONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-LfwYYKo-5tM/VbpKjD7OiAI/AAAAAAABS8E/k1Ps_CRB4JM/s640/mwandosya.jpg)
10 years ago
MichuziPROFESA MARK MWANDOSYA ANENA
Nilidhani leo mitandao yote ingesheni habari hiyo kubwa. Kumbe nami nimekuwa "staa" katika mitandao ya kijamii. Kuanzia asubuhi nimekuwa nikipokea na kujibu simu mbalimbali nikiulizwa maoni yangu kuhusu tukio la jana, kuhusu mchakato wa Dodoma...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s72-c/unnamed+(12).jpg)
profesa mwandosya atembelea rwanda
![](http://1.bp.blogspot.com/-vPUAyMtg3No/Uve1M71KpKI/AAAAAAAFL8I/7mHOSQkASfo/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s72-c/unnamed+(53).jpg)
profesa mwandosya ziarani Burundi
![](http://1.bp.blogspot.com/-JRbkidEQOsw/U4N5SNM4wMI/AAAAAAAFlMI/rjAuCgoK5Ds/s1600/unnamed+(53).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Profesa Mark Mwandosya ziarani Burundi
![](http://3.bp.blogspot.com/-UbX--J9CwuM/U3vGNkwa6NI/AAAAAAAFj-g/rh5WGAbUAPU/s1600/unnamed+(51).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/znkHXxFmtYU/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania19 May
Profesa Mwandosya amshika pabaya Dk. Slaa
Na Debora Sanja, Dodoma
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya ‘amemvaa’ Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa na kusema kwamba kiongozi huyo amekosa uzalendo kwa hatua yake ya kuizungumza vibaya Tanzania akiwa nje ya nchi.
Profesa Mwandosya alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati akichangia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Utawala Bora, Uhusiano na Uratibu kwa mwaka wa fedha...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Mpambano wa Profesa Mwandosya na Zitto Kabwe
WIKI iliyopita, Kiongozi Mkuu wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, alitoa wito kwa watu wanaotaka urais
Mwandishi Wetu