Pooley atajwa kuwa shujaa wa Ebola
Familia William Pooley anayetibiwa mjini London, baada ya kuambukizwa Ebola nchini Siera Leone wamesema anapata huduma bora
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
Mshambulizi Paris atajwa kuwa ni Omar Mostefai
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/11/14/151114143754_stade_de_france_csi_624x351_afp_nocredit.jpg)
Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.
Omar Ismail Mostefai mwenye umri wa miaka 29 anasemekana kuwa ni raia wa ufaransa aliyekuwa anachunguzwa na polisi wa kupamabana na ugadi kabla hajatoweka.
Mtu huyo tayari alikuwa na rekodi ya uhalifu.
Omar ametambuliwa kutokana na kidole kilichopatikana katika eneo la tukio.
![](http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/11/15/151115035539_france_molins_624x351_epa_nocredit.jpg)
9 years ago
Vijimambo04 Sep
WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA
![](http://api.ning.com/files/7KfVtj4CX6hThTe10UGjk2aJtPzkIgNuNHw8iQeeZdzZlR3AEfGrtqLhJ4Q*mwClkSuDRNJunX8bAMt4qk26V7obo-0iKvAf/DrSlaa4.jpg)
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...
10 years ago
Dewji Blog07 Aug
Umoja wa wasanii wa fani mbalimbali wamuaga JK, wamtangaza kuwa shujaa wa sanaa ya muziki nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s640/1.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete akizungumza mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani),waliofika ndani ya ukumbi wa Mlimani City katika hafla ya kuagwa kwake ilioandaliwa na Muungano wa Wasanii kwa ajili ya kumshukuru kwa namna alivyowasaidia tangu alivyoingia madarakani kwa miaka 10 na pia kumtambulisha Mgombea wa Urais wa chama cha CCM Dkt John Pombe Magufuli,Dkt Jakaya Kikwete alizungumza mambo mbalimbali zikiwemo haki na hatimiliki za wasanii wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s72-c/1.jpg)
UMOJA WA WASANII WA FANI MBALIMBALI WAMUGA JK,WAMTANGAZA KUWA SHUJAA WA SANAA YA MUZIKI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xrejKDXM2g0/VcQb5z7850I/AAAAAAAHu_g/8RImiSTUD08/s640/1.jpg)
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Ebola:Mashabiki watakiwa kuwa na subra
11 years ago
BBCSwahili02 Aug
W.H.O:Ebola inaweza kuwa janga baya
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Hofu ya Ebola kuwa sugu kutibu