Mshambulizi Paris atajwa kuwa ni Omar Mostefai
Mshambulizi Paris atajwa:Omar Mostefai
Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.
Omar Ismail Mostefai mwenye umri wa miaka 29 anasemekana kuwa ni raia wa ufaransa aliyekuwa anachunguzwa na polisi wa kupamabana na ugadi kabla hajatoweka.
Mtu huyo tayari alikuwa na rekodi ya uhalifu.
Omar ametambuliwa kutokana na kidole kilichopatikana katika eneo la tukio.
![](http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/11/15/151115035539_france_molins_624x351_epa_nocredit.jpg)
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Mshambulizi Paris atajwa:Omar Mostefai
10 years ago
BBCSwahili26 Aug
Pooley atajwa kuwa shujaa wa Ebola
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi
Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.
[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).
Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3) yakilia nje ya...
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
9 years ago
Raia Mwema06 Nov
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Kinara wa wizi Barclays atajwa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...