Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshambulizi Paris atajwa kuwa ni Omar Mostefai

Mshambulizi Paris atajwa:Omar Mostefai

Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.

Omar Ismail Mostefai mwenye umri wa miaka 29 anasemekana kuwa ni raia wa ufaransa aliyekuwa anachunguzwa na polisi wa kupamabana na ugadi kabla hajatoweka.

Mtu huyo tayari alikuwa na rekodi ya uhalifu.

Omar ametambuliwa kutokana na kidole kilichopatikana katika eneo la tukio.

Kiongozi wa mashtaka wa Ufaransa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mshambulizi Paris atajwa:Omar Mostefai

Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.

 

10 years ago

BBCSwahili

Pooley atajwa kuwa shujaa wa Ebola

Familia William Pooley anayetibiwa mjini London, baada ya kuambukizwa Ebola nchini Siera Leone wamesema anapata huduma bora

 

11 years ago

BBCSwahili

Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza

Israel imesema kuwa itaendeleza mashambulizi yake Gaza hadi pale kundi la wapiganaji wa Hamas litakapositisha kurusha makombora

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

5 years ago

Contactmusic.Com

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts

Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts  Contactmusic.comView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Raia Mwema

Lowassa atajwa

BAADA ya kuhitimishwa kwa Uchaguzi Mkuu na kumwingiza Ikulu, Dk.

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinara wa wizi Barclays atajwa

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani