Kinara wa wizi Barclays atajwa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Polisi: Meneja Barclays alipanga wizi
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasililika (28), anadaiwa kuchonga mpango wa majambazi kuvamia na kisha kupora kiasi kikubwa cha fedha katika tawi hilo. Katika tukio hilo...
11 years ago
Habarileo03 May
Mameneja Barclays kortini wizi wa mil.479/-
WATU saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki hiyo.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
11 years ago
Mwananchi03 May
Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi
![Benki ya Barclays](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/majambazi-barclays.jpg)
Benki ya Barclays
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika, amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.
Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba, wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.
Kitali alidai siku ya tukio Aprili 14, mwaka huu, mshtakiwa Alune na Neema Batchu ambao ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XKKhlyPEnrw/U2THzgDMh3I/AAAAAAAFfCM/wy2YRfaHPlE/s72-c/majambazi+(1).jpg)
SABA KIZIMBANI KWA WIZI KATIKA BENKI YA BARCLAYS
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKKhlyPEnrw/U2THzgDMh3I/AAAAAAAFfCM/wy2YRfaHPlE/s1600/majambazi+(1).jpg)
Washtakiwa hao ni Alune Kasililika (38), Neema Batchu (26) wafanyakazi wa benk hiyo, Kakame Julius (38), Iddy Khamis (32), Sezary Msolopa (31), Boniphace Muumba (29) na Ruth Macha (30) wafanyabiashara.
Wakisomewa mashitaka yao mbele ya...
11 years ago
Habarileo15 May
Polisi wambaini kinara wa wizi wa mabenki Dar
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limefanikiwa kubaini mtuhumiwa kinara wa wizi wa mabenki, Ronald Mollel (37), ambaye ni mume wa Meneja wa Benki ya Barclays tawi la Kinondoni, Alune Kasililika, anayeshikiliwa na jeshi hilo.
11 years ago
Michuzi14 May
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management
![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
Commenting on the appointment, Barclays Africa Group Chief Executive Maria Ramos said: “I am excited that we were able to appoint someone with such breadth of skills and experience into this role. Her appointment will be instrumental in executing our...