Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mameneja Barclays kortini wizi wa mil.479/-

WATU saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watuhumiwa wa wizi wa Benki ya Barclays wafikishwa kortini

>Watu saba wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays wamefikishwa katika  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka  ya wizi wa zaidi ya Sh479 milioni mali ya benki hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Kortini kwa wizi wa mil 37.5/-

PinguMFANYABIASHARA Ally Salehe (37) amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka ya wizi akiwa mtumishi.

 

11 years ago

Habarileo

Mameneja Barclays mbaroni

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni. Mameneja hao ni Alune Kasililika maarufu kama Mollel (28), mkazi wa Kimara Bonyokwa ambaye ni Meneja wa tawi hilo na Neema Bandari maarufu kama Bachu (28) ambaye ni Meneja Operesheni wa tawi hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinara wa wizi Barclays atajwa

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi: Meneja Barclays alipanga wizi

MENEJA wa Benki ya  Barclays Tawi la Kinondoni,  Alune Kasililika (28), anadaiwa kuchonga mpango wa majambazi kuvamia na kisha kupora kiasi kikubwa cha fedha katika  tawi hilo. Katika tukio hilo...

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha

>Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

SABA KIZIMBANI KWA WIZI KATIKA BENKI YA BARCLAYS

WATU saba wakiwemo wafanyakazi wawili wanawake wa benki ya  Barclays wamepandishwa  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kula njama na unyang'anyi wa kutumia silaha pamoja na wiza wa sh milioni 390.2 , dola za kimarekani 55,000 na Euro 2150.
Washtakiwa hao ni Alune Kasililika (38), Neema Batchu (26) wafanyakazi wa benk hiyo, Kakame Julius (38), Iddy Khamis (32), Sezary Msolopa (31), Boniphace Muumba (29) na Ruth Macha (30) wafanyabiashara.
Wakisomewa mashitaka yao mbele ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi

Benki ya Barclays

Benki ya Barclays

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika, amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.

Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba, wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.

Kitali alidai siku ya tukio Aprili 14, mwaka huu, mshtakiwa Alune na Neema Batchu ambao ni...

 

11 years ago

Habarileo

Kortini wizi wa gari la milioni 60/-

WATU wawili wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka mawili, ya wizi wa gari lenye thamani ya Sh milioni 60 na kulinda mali iliyoibwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani