Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mameneja Barclays mbaroni

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni. Mameneja hao ni Alune Kasililika maarufu kama Mollel (28), mkazi wa Kimara Bonyokwa ambaye ni Meneja wa tawi hilo na Neema Bandari maarufu kama Bachu (28) ambaye ni Meneja Operesheni wa tawi hilo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mameneja Barclays kortini wizi wa mil.479/-

WATU saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo Barclays mbaroni

Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha

>Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

 

10 years ago

Michuzi

Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management

Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management. Effective from 1 October 2014, Mizinga will be responsible for the group’s businesses outside of South Africa.
Commenting on the appointment, Barclays Africa Group Chief Executive Maria Ramos said: “I am excited that we were able to appoint someone with such breadth of skills and experience into this role. Her appointment will be instrumental in executing our...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco yatimua mameneja saba

Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limewaachisha kazi wafanyakazi wake saba wa kada ya uhasibu, umeneja na uhandisi kwa tuhuma za wizi na ubadhirifu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mameneja washangazwa na kufutwa kwa Mourinho

Mameneja wa klabu za Ligi Kuu ya Uingereza wameeleza kushangazwa kwao na hatua ya Chelsea kumfuta kazi meneja Jose Mourinho.

 

11 years ago

GPL

ISABELA: SITOI PENZI KWA MAMENEJA

STAA wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda amewachana wasanii ‘wanaotembea’ na mameneja wao kwani ni ujinga wa mawazo na yeye kamwe hawezi kufanya hivyo. Staa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema katika maisha yake hajawahi kuwa na uhusiano na meneja au prodyuza na huwa anawashangaa na kuwasikitikia wasanii wanaofanya hivyo wakati siyo njia sahihi ya kujikwamua kimuziki....

 

10 years ago

Bongo5

Mameneja wa T.I. na Waje kutoa semina ya muziki Dar

Ikiwa ni siku chache tu zimebakia ili shangwe za Serengeti Fiesta zitawale katika maskio ya wakazi wa Dar es Salaam, October 18, Meneja wa T.I., Jason Geter pamoja na meneja wa Wizkid na Waje, Cecil Hammond, wanatarajia kutoa semina kwa wadau wa muziki itakayofanyika ijumaa hii. T.I akiwa na manager wake Jason Geter Akizungumza Bongo5 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani