Mameneja Barclays mbaroni
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni. Mameneja hao ni Alune Kasililika maarufu kama Mollel (28), mkazi wa Kimara Bonyokwa ambaye ni Meneja wa tawi hilo na Neema Bandari maarufu kama Bachu (28) ambaye ni Meneja Operesheni wa tawi hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 May
Mameneja Barclays kortini wizi wa mil.479/-
WATU saba wakiwemo mameneja wawili wa Benki ya Barclays, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki hiyo.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management
![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
Commenting on the appointment, Barclays Africa Group Chief Executive Maria Ramos said: “I am excited that we were able to appoint someone with such breadth of skills and experience into this role. Her appointment will be instrumental in executing our...
9 years ago
Mwananchi07 Dec
Tanesco yatimua mameneja saba
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mameneja washangazwa na kufutwa kwa Mourinho
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZaaf*lMTyzNVPmAU-UlCf7-VK731KLPXPCC1ZkNOnHTU0VSBkVw9Qqz7HvDAT4nCpnW5HDBIjbByvMWxqwf7eUM/snura.jpg?width=650)
ISABELA: SITOI PENZI KWA MAMENEJA
10 years ago
Bongo514 Oct
Mameneja wa T.I. na Waje kutoa semina ya muziki Dar