Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo Barclays mbaroni

Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha

>Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Mameneja Barclays mbaroni

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni. Mameneja hao ni Alune Kasililika maarufu kama Mollel (28), mkazi wa Kimara Bonyokwa ambaye ni Meneja wa tawi hilo na Neema Bandari maarufu kama Bachu (28) ambaye ni Meneja Operesheni wa tawi hilo.

 

9 years ago

Habarileo

Vigogo 15 mbaroni

WATUMISHI 15 wa Idara za Ardhi, Mipango Miji na Ujenzi katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera akiwemo Msanifu wa Majengo wa Manispaa hiyo, Abukar Issa, wanashikiliwa na Polisi kwa uchunguzi zaidi dhidi ya tuhuma za kugawa hati ya ardhi kinyume cha Sheria ya Ardhi ya Mwaka 2004.

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo TPDC watiwa mbaroni

Askari Polisi wakiwaongoza Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwanda (wa pili kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, James Andilile (wa pili kulia) kuelekea katika gari la polisi baada ya kuwakamata kwenye Ofisi ya Bunge Dar es Salaam jana. (Picha na Yusuf Badi).VIGOGO wawili wa Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli (TPDC) jana walijikuta wakisota rumande kwa saa kadhaa baada ya kushikiliwa na Polisi, kwa kile kilichoelezwa ni kukiuka agizo la Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyokuwa imeagiza ikabidhiwe mikataba 26 ya gesi iliyofikiwa kati ya Serikali na wawekezaji.

 

10 years ago

Mtanzania

Kina Zitto wawatia mbaroni vigogo TPDC

TPDCNa Fredy Azzah, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande na Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo, James Andilile, wametiwa mbaroni baada ya kukaidi amri ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyotaka kukabidhiwa mikataba 26 ya gesi kwa takribani miaka mitatu sasa.

Vigogo hao walikamatwa jana Dar es Salaam katika ofisi Ndogo za Bunge walipokutana na kamati hiyo ambayo ilikaa kama mahakama.

Tangu mwaka 2012, PAC imekuwa ikiomba...

 

10 years ago

Michuzi

Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management

Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management. Effective from 1 October 2014, Mizinga will be responsible for the group’s businesses outside of South Africa.
Commenting on the appointment, Barclays Africa Group Chief Executive Maria Ramos said: “I am excited that we were able to appoint someone with such breadth of skills and experience into this role. Her appointment will be instrumental in executing our...

 

11 years ago

TheCitizen

7 charged with Barclays robbery

>Seven persons including two managers of Barclays Bank were yesterday charged with two counts of conspiracy and armed robbery of Sh390.2 million, $55,000 and euros 2,150.

 

11 years ago

Michuzi

Barclays to keep two Tanzanian banks

Maria Ramos, Chief Executive, Barclays Africa Group
JOHANNESBURG-headquartered Barclays Africa Group has said it will continue controlling two competing independent banks in Tanzania for the foreseeable future, raising questions about the efficiency and cost of running two banks in one country. The arrangement in Tanzania also raises questions about Barclays’ "One Bank in Africa strategy". Barclays Africa Group, which is headed by Maria Ramos, owns a majority stake in National Bank of...

 

11 years ago

Heist Case

One more joined in Barclays bank 400m/


One more joined in Barclays bank 400m/- heist case
Daily News
THE number of people allegedly linked to the over 400m/- armed robbery at Barclays Bank, Kinondoni Branch, has increased to 12 following the arraignment of one more accused person at the Kisutu Resident Magistrates' Court in Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani