Vigogo Barclays mbaroni
Hatimaye Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limetoa taarifa ya wizi uliotokea katika Benki ya Barclays, Tawi la Kinondoni Aprili 15, mwaka huu, likisema tukio hilo lilipangwa ndani ya benki hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
11 years ago
Habarileo29 Apr
Mameneja Barclays mbaroni
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam inawashikilia watuhumiwa 13, wakiwamo mameneja wawili wa Benki ya Barclays kwa tuhuma za kuhusika na wizi katika benki hiyo katika tawi la Kinondoni. Mameneja hao ni Alune Kasililika maarufu kama Mollel (28), mkazi wa Kimara Bonyokwa ambaye ni Meneja wa tawi hilo na Neema Bandari maarufu kama Bachu (28) ambaye ni Meneja Operesheni wa tawi hilo.
9 years ago
Habarileo14 Dec
Vigogo 15 mbaroni
WATUMISHI 15 wa Idara za Ardhi, Mipango Miji na Ujenzi katika Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera akiwemo Msanifu wa Majengo wa Manispaa hiyo, Abukar Issa, wanashikiliwa na Polisi kwa uchunguzi zaidi dhidi ya tuhuma za kugawa hati ya ardhi kinyume cha Sheria ya Ardhi ya Mwaka 2004.
10 years ago
Habarileo04 Nov
Vigogo TPDC watiwa mbaroni
VIGOGO wawili wa Shirika la Maendeleo ya Mafuta na Petroli (TPDC) jana walijikuta wakisota rumande kwa saa kadhaa baada ya kushikiliwa na Polisi, kwa kile kilichoelezwa ni kukiuka agizo la Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyokuwa imeagiza ikabidhiwe mikataba 26 ya gesi iliyofikiwa kati ya Serikali na wawekezaji.
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Kina Zitto wawatia mbaroni vigogo TPDC
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande na Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo, James Andilile, wametiwa mbaroni baada ya kukaidi amri ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyotaka kukabidhiwa mikataba 26 ya gesi kwa takribani miaka mitatu sasa.
Vigogo hao walikamatwa jana Dar es Salaam katika ofisi Ndogo za Bunge walipokutana na kamati hiyo ambayo ilikaa kama mahakama.
Tangu mwaka 2012, PAC imekuwa ikiomba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Barclays Africa Group announces the appointment of Mizinga Melu as Chief Executive of Barclays Africa Regional Management
![](http://4.bp.blogspot.com/-GDJvJXWbypQ/VA7BtpMfemI/AAAAAAAGiMs/tlxzwWz_ubU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
Commenting on the appointment, Barclays Africa Group Chief Executive Maria Ramos said: “I am excited that we were able to appoint someone with such breadth of skills and experience into this role. Her appointment will be instrumental in executing our...
11 years ago
TheCitizen03 May
7 charged with Barclays robbery
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G1xPuu-4bn8/U5qpKkSJA4I/AAAAAAAAA8A/y6OpywLxG50/s72-c/Maria+Ramos+XXX+high+res.jpg)
Barclays to keep two Tanzanian banks
![](http://3.bp.blogspot.com/-G1xPuu-4bn8/U5qpKkSJA4I/AAAAAAAAA8A/y6OpywLxG50/s640/Maria+Ramos+XXX+high+res.jpg)
JOHANNESBURG-headquartered Barclays Africa Group has said it will continue controlling two competing independent banks in Tanzania for the foreseeable future, raising questions about the efficiency and cost of running two banks in one country. The arrangement in Tanzania also raises questions about Barclays’ "One Bank in Africa strategy". Barclays Africa Group, which is headed by Maria Ramos, owns a majority stake in National Bank of...
11 years ago
Heist Case23 Jul
One more joined in Barclays bank 400m/
Daily News
THE number of people allegedly linked to the over 400m/- armed robbery at Barclays Bank, Kinondoni Branch, has increased to 12 following the arraignment of one more accused person at the Kisutu Resident Magistrates' Court in Dar es Salaam.