ISABELA: SITOI PENZI KWA MAMENEJA
![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZaaf*lMTyzNVPmAU-UlCf7-VK731KLPXPCC1ZkNOnHTU0VSBkVw9Qqz7HvDAT4nCpnW5HDBIjbByvMWxqwf7eUM/snura.jpg?width=650)
STAA wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda amewachana wasanii ‘wanaotembea’ na mameneja wao kwani ni ujinga wa mawazo na yeye kamwe hawezi kufanya hivyo. Staa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema katika maisha yake hajawahi kuwa na uhusiano na meneja au prodyuza na huwa anawashangaa na kuwasikitikia wasanii wanaofanya hivyo wakati siyo njia sahihi ya kujikwamua kimuziki....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZK2wO853WJjm8loo4RhgE8p0quslecjLgxX-a7DpIK4YE2qg8s8qyPiA*0J2ivqEimFHf84ZAEX3CGGynagXaF/isabela.jpg?width=650)
MAMA LORAA AINGILIA KATI PENZI LA ISABELA, KALAMA!
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mameneja washangazwa na kufutwa kwa Mourinho
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s72-c/1-26.jpg)
MAJALIWA ATOA AGIZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-A2BlwSeE8XA/XmfWyrE3RpI/AAAAAAALifY/5Evti4SLmigpLaGGS-w-NhjGoR7LzE8zwCLcBGAsYHQ/s640/1-26.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/3-23.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa4U3bVJPRu9bf*D50Hiji7Fkrry8vL5fw8VKcmb398oLggbr6SxM*1VG-uf3vLc8Y5PLGDv*e0UsqpvB6Q-Jt0e/22.jpg?width=650)
ISABELA: MASTAA WA KIKE BONGO WANAISHI KWA KUUZA MIILI YAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ac68YxxsLJ0UKZ2Ek7wc1oQrKhxu05Ytl0Fftmy6vjz4YuxBANNwHOeCSyjCo5tPmwIFnBIXsEHRVc9N-CciZF*GxgRUE966/trafki.jpg?width=650)
DEREVA: SITOI RUSHWA LABDA UNIUE
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Izzo Bizness: Sitoi wimbo bila mama kuukubali
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MKALI anayefanya vizuri kwenye muziki wa kizazi kipya nchini, Emmanuel Simwinga ‘Izzo Bizness’, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize ndiyo aupeleke redioni.
Izzo alisema tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Biziness’ na alipoupitisha huwa na mafanikio makubwa, ndiyo maana anaendelea na hali hiyo hadi sasa.
“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe, nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa...
10 years ago
Bongo502 May
Nimesikitishwa kusikia baadhi ya wasanii wanasema sitoi connections za nje — AY
10 years ago
Bongo Movies08 Feb
Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!
Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.
“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Usililinde penzi lako kwa uongo
ASALAM aleykum msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii inayotufundisha mambo mbalimbali ya kuishi vema na wapenzi wetu. Hivi wewe ni muongo? Upo katika mahusiano...