Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ISABELA: SITOI PENZI KWA MAMENEJA

STAA wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda amewachana wasanii ‘wanaotembea’ na mameneja wao kwani ni ujinga wa mawazo na yeye kamwe hawezi kufanya hivyo. Staa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema katika maisha yake hajawahi kuwa na uhusiano na meneja au prodyuza na huwa anawashangaa na kuwasikitikia wasanii wanaofanya hivyo wakati siyo njia sahihi ya kujikwamua kimuziki....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMA LORAA AINGILIA KATI PENZI LA ISABELA, KALAMA!

MAMA mlezi wa wasanii wa filamu Bongo, Catherine Ambakisye ‘Mama Loraa’ ameingilia kati penzi la wasanii wawili, Isabela Mpanda na Luteni Kalama lililovunjika na kuwapatanisha. Wasanii wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda na Luteni Kalama wakiwa katika pozi. Isabela amethibitisha kuwa ni kweli wamewekwa kiti moto na Mama Loraa ambapo walikubali kurudiana na kudai ni onyo la mwisho kwa Kalama na kama atarudia tabia za...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mameneja washangazwa na kufutwa kwa Mourinho

Mameneja wa klabu za Ligi Kuu ya Uingereza wameeleza kushangazwa kwao na hatua ya Chelsea kumfuta kazi meneja Jose Mourinho.

 

5 years ago

Michuzi

MAJALIWA ATOA AGIZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI



 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akitoa maelekezo kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale, wakati akikagua ujenzi wa barabara ya mchepuo na kalvati jipya la zege katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Kiyegeya, ambapo mawasiliano katika barabara hiyo yamerejea.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, pamoja...

 

10 years ago

GPL

ISABELA: MASTAA WA KIKE BONGO WANAISHI KWA KUUZA MIILI YAO

IMEBAINIKA kuwa asilimia kubwa ya mastaa wa kike Bongo Muvi wanaishi kwa kuuza miili yao, Risasi Jumamosi linakupa mchapo kamili. Akizungumza na waandishi wetu, msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza. Msanii wa filamu na muziki Bongo,...

 

11 years ago

GPL

DEREVA: SITOI RUSHWA LABDA UNIUE

Stori:  Issa Mnally
SEKESEKE la aina yake kati ya dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up na trafiki ambao majina yao hayakujulikana mara moja liliibuka na kuzua maswali mengi kwa mashuhuda huku mambo ya rushwa yakitajwatajwa. Trafiki akimdhibiti dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up. Tukio hilo lilizozua maswali mengi liliibuka juzi Jumatano, Bamaga, Mwenge jijini Dar jirani na kituo cha mafuta cha Bamaga. Katika...

 

9 years ago

Mtanzania

Izzo Bizness: Sitoi wimbo bila mama kuukubali

IzzomNA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI anayefanya vizuri kwenye muziki wa kizazi kipya nchini, Emmanuel Simwinga ‘Izzo Bizness’, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize ndiyo aupeleke redioni.

Izzo alisema tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Biziness’ na alipoupitisha huwa na mafanikio makubwa, ndiyo maana anaendelea na hali hiyo hadi sasa.

“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe, nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa...

 

10 years ago

Bongo5

Nimesikitishwa kusikia baadhi ya wasanii wanasema sitoi connections za nje — AY

Katika miaka ya karibuni muziki Bongo umepata nafasi kubwa ya kupenya katika soko la Afrika na kimataifa kwa ujumla. Video za wasanii wa Tanzania zimekuwa zikipata nafasi ya kuoneshwa kwenye TV kubwa za kimataifa na wasanii wa Tanzania wamekuwa wakipata nominations kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa, na miongoni mwa wasanii wa mwanzo kabisa kupata connection […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Isabela: Mastaa wa Kike Bongo Wanaishi Kwa Kuuza Miili Yao, Jini Kabula na Davina nao waeleza!!

Akizungumza na GPL , msanii wa filamu na muziki Bongo, Isabela Mpanda ‘Bella’, alisema wasanii wengi wanaishi maisha ya thamani wakati kiuhalisia kazi yao haiwaingizii kipato kinachofanana na maisha ya thamani wanayoishi hivyo kuamua kujiuza.

“Filamu hazilipi, wengi tunajiuza. Bajeti yenyewe ya muvi ni ndogo, wasanii wengi wanataka kulipwa katika muvi moja, haiwezekani kumiliki vitu vya thamani ndiyo maana tunaamua kujiuza.
“Hakuna msanii anayeishi maisha ya kutegemea filamu, kwanza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usililinde penzi lako kwa uongo

ASALAM aleykum msomaji wa safu hii ya Urafiki na Mahusiano. Nakukaribisha katika safu hii inayotufundisha mambo mbalimbali ya kuishi vema na wapenzi wetu. Hivi wewe ni muongo? Upo katika mahusiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani