Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEREVA: SITOI RUSHWA LABDA UNIUE

Stori:  Issa Mnally
SEKESEKE la aina yake kati ya dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up na trafiki ambao majina yao hayakujulikana mara moja liliibuka na kuzua maswali mengi kwa mashuhuda huku mambo ya rushwa yakitajwatajwa. Trafiki akimdhibiti dereva wa gari dogo aina ya Toyota Pick up. Tukio hilo lilizozua maswali mengi liliibuka juzi Jumatano, Bamaga, Mwenge jijini Dar jirani na kituo cha mafuta cha Bamaga. Katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI

AJALI YA GARI KUGONGA BAJAJI NA KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...

 

11 years ago

GPL

ISABELA: SITOI PENZI KWA MAMENEJA

STAA wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda amewachana wasanii ‘wanaotembea’ na mameneja wao kwani ni ujinga wa mawazo na yeye kamwe hawezi kufanya hivyo. Staa wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda. Akizungumza na gazeti hili, Isabela alisema katika maisha yake hajawahi kuwa na uhusiano na meneja au prodyuza na huwa anawashangaa na kuwasikitikia wasanii wanaofanya hivyo wakati siyo njia sahihi ya kujikwamua kimuziki....

 

9 years ago

Mtanzania

Izzo Bizness: Sitoi wimbo bila mama kuukubali

IzzomNA CHRISTOPHER MSEKENA

MKALI anayefanya vizuri kwenye muziki wa kizazi kipya nchini, Emmanuel Simwinga ‘Izzo Bizness’, amesema kabla hajatoa wimbo ni lazima ampe mama yake ausikilize ndiyo aupeleke redioni.

Izzo alisema tabia hiyo aliianza baada ya kutoa wimbo wake wa kwanza wa ‘Biziness’ na alipoupitisha huwa na mafanikio makubwa, ndiyo maana anaendelea na hali hiyo hadi sasa.

“Huwa namtumia nyimbo mbili kisha yeye anachagua upi niutoe, nipo tofauti na wasanii wengi ambao kabla hawajatoa...

 

10 years ago

Bongo5

Nimesikitishwa kusikia baadhi ya wasanii wanasema sitoi connections za nje — AY

Katika miaka ya karibuni muziki Bongo umepata nafasi kubwa ya kupenya katika soko la Afrika na kimataifa kwa ujumla. Video za wasanii wa Tanzania zimekuwa zikipata nafasi ya kuoneshwa kwenye TV kubwa za kimataifa na wasanii wa Tanzania wamekuwa wakipata nominations kwenye tuzo mbalimbali za kimataifa, na miongoni mwa wasanii wa mwanzo kabisa kupata connection […]

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM hii? Labda nyingine!

NATAKA kuamini kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakiwezi kuacha fedha chafu, kwa sababu itakuwa sawa na kung’ata kidole kinachopeleka chakula mdomoni. Nitasimulia kidogo. Mnamo Machi 2006, Rais Jakaya Kikwete akiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Mwananchi

Labda CCM itawale milele kunusuru Muungano wa serikali mbili

>Hadi  sasa imebainika kuwa  kitu ‘kinachowasha moto’ siyo muundo wa serikali, bali ni aina gani ya muundo wa serikali unaoweza kuunusuru Muungano huu uliodumu kwa  miaka 50.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani