Mshambulizi Paris atajwa:Omar Mostefai
Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Nov
Mshambulizi Paris atajwa kuwa ni Omar Mostefai
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/11/14/151114143754_stade_de_france_csi_624x351_afp_nocredit.jpg)
Waendesha mashtaka wanaouchunguza matukio ya mashambulio ya kigaidi mjini Paris Ufaransa wamemtaja mmoja wa washambuliaji 7 wa kujitoa mhanga.
Omar Ismail Mostefai mwenye umri wa miaka 29 anasemekana kuwa ni raia wa ufaransa aliyekuwa anachunguzwa na polisi wa kupamabana na ugadi kabla hajatoweka.
Mtu huyo tayari alikuwa na rekodi ya uhalifu.
Omar ametambuliwa kutokana na kidole kilichopatikana katika eneo la tukio.
![](http://ichef-1.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/11/15/151115035539_france_molins_624x351_epa_nocredit.jpg)
11 years ago
BBCSwahili12 Jul
Israel kuendeleza mshambulizi yake Gaza
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
9 years ago
Raia Mwema06 Nov
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Mbeki atajwa kashfa ya Rushwa
11 years ago
Tanzania Daima15 May
Kinara wa wizi Barclays atajwa
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limemtaja Ronald Mollel (37) mkazi wa Kimara Bonyokwa kuwa ndiye kinara wa wizi uliofanyika Aprili 15 mwaka huu katika Benki ya...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Mkufunzi wa Fifa atajwa Yanga
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5HfxuNmR0vA/VNsue8lTEDI/AAAAAAAHDCE/PFJMRzOrVZg/s72-c/GO9G8667.jpg)
Mwingereza atajwa Tamasha la Pasaka
![](http://4.bp.blogspot.com/-5HfxuNmR0vA/VNsue8lTEDI/AAAAAAAHDCE/PFJMRzOrVZg/s1600/GO9G8667.jpg)
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka, Alex Msama alisema katika taarifa yake kuwa mwaka huu wanataka kutoka kivingine. “Mashabiki wamekuwa wakiomba tumualike Ayobami, bado tunapokea maoni...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Diamond atajwa tena tuzo 3
Diamond Platnumz
MWAKA ameufungua vizuri staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya kutajwa kuwania tuzo tatu za Trends Loaded Music, Too Exclusive pamoja na Hipipo Music.
Katika Tuzo za Hipipo Music ambazo hutolewa nchini Uganda na Nigeria, Diamond amefanikiwa kuingia katika vipengele vitatu ambavyo ni East African Super Hit, East african Best Video pamoja na Best African Artist of the Year.
Kwa upande wa Tuzo za Xclusive Music, Diamond ameingia katika kipengele kimoja cha...