Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eti wasomi nao wamejiingiza kwenye siasa za Muungano?

EBO! Eti nasikia kuna watu wanaoitwa wasomi wameibuka kwenye siasa siku hizi? Lakini hata mimi nakosea kusema siku hizi, maana tangu kitambo tulishawaona wakikimbia profesheni zao na kwenda kula bata....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo Movies

Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka

Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!

 

Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...

 

9 years ago

GPL

MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE

MIAKA michache iliyopita, nilipata kuwa mdau mkubwa wa muziki wa dansi, nikipatikana katika karibu kumbi zote ambazo bendi kubwa zilifanya mambo yao jijini Dar es Salaam. Huko, nilikutana na watu wengine waliokuwa na ‘wazimu’ zaidi kuliko mimi. Hawa, waliitwa majina ya kutukuzwa na wanamuziki, wengi wao wakitajwa kwenye nyimbo. Ninamkumbuka ‘mshkaji’ Fikiri Madinda, Papaa Chosta, Hussein Makabureta,...

 

10 years ago

Vijimambo

WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA


Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi watetea mfumo wa Muungano

WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomi Zanzibar waunga Muungano

Wanachuo Zanzibar wapinga hatua yoyote inayoweza kuvunja Muungano wa Tanzania

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa aeleza sababu ya wasomi kukimbilia siasa

>Kwa nini siasa imegeuka kimbilio la wengi, wakiwamo wasomi Tanzania?

 

10 years ago

Habarileo

Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli

SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.

 

11 years ago

Habarileo

Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC

WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

James Mbatia awachambua wasomi, wanaCCM, hoja za Muungano

 Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, James Mbatia, jana amewashambua wajumbe waliowengi bungeni na wasomi, kwa kulipotosha taifa katika mchakato wa kupata Katiba Mpya kutokana na kutumia takwimu na taarifa zisizo sahihi na kufanya propaganda katika suala la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani