Eti wasomi nao wamejiingiza kwenye siasa za Muungano?
EBO! Eti nasikia kuna watu wanaoitwa wasomi wameibuka kwenye siasa siku hizi? Lakini hata mimi nakosea kusema siku hizi, maana tangu kitambo tulishawaona wakikimbia profesheni zao na kwenda kula bata....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo Movies19 Sep
Uwiii! Eti, eti, Kajala anatumia nafasi ya kuonekana kwenye TV "kuvutia mabwana", Nora huyo karopoka
Muigizaji maarufu nchini aliyetamba mwanzoni mwa miaka ya 2000 Nora Nuru Nassoro aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana!
Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema fani ya uigizaji imevamiwa kwa sasa kwani kuna watu ambao wanaingia kwenye gemu ili wauze sura na kuonekana na...
9 years ago
GPL
MH! ETI RAY, STEVE NYERERE NAO MAPEDESHEE
10 years ago
Vijimambo04 Sep
WATAALAMU WA MAMBO YA SIASA WANAKWAMBIA KUWA ETI SLAA NI SHUJAA WA TAIFA

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa.HOTUBA ya kwanza tangu ‘atoweke’ kwenye anga za siasa ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dokta Wilbroad Slaa, aliyoitoa juzi Jumanne juu ya kujiweka pembeni, imepokelewa kwa hisia tofauti huku wengi wakimuita kuwa ni shujaa wa taifa kutokana na ujasiri wake, Ijumaa lina kila kitu.Katika mahojiano yaliyowahusisha wananchi na wachambuzi mbalimbali wa mambo ya kisiasa...
11 years ago
Habarileo11 Mar
Wasomi watetea mfumo wa Muungano
WASOMI mbalimbali wa vyuo vikuu vya Dodoma (UDOM) na Dar es Salaam (UDSM), wametetea mfumo wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kudumisha amani na utulivu licha ya changamoto zinazojitokeza.
11 years ago
BBCSwahili24 Apr
Wasomi Zanzibar waunga Muungano
11 years ago
Mwananchi30 Jun
Msekwa aeleza sababu ya wasomi kukimbilia siasa
10 years ago
Habarileo23 Oct
Vyama vya siasa, wasomi wamtaka Magufuli
SHIRIKISHO la Vyama vya Siasa nje ya Ukawa Mkoa wa Mbeya na Mtandao wa Wasomi na Wanataaluma vimetangaza rasmi kumuunga mkono Mgombea wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli.
11 years ago
Habarileo09 Feb
Wasomi wajadili hoja za Muungano bila jazba -RC
WASOMI nchini wametakiwa kujadili hoja za muungano kwa umakini na busara na waepuke jazba ambazo hazina maslahi kwa Taifa.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
James Mbatia awachambua wasomi, wanaCCM, hoja za Muungano