Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto achanwa viwembe, vidonda vyawekwa chumvi

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard PauloPOLISI mkoani hapa wanamshikilia Tausi Omary (30), mkazi wa kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi mtoto wa dada yake, Jafari Mashaka (11) kwa kumchanachana mguuni kwa wembe na kisha kuweka chumvi kwenye vidonda, kwa madai ya kumwimbia fedha kiasi cha Sh 4,500.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MKE WA MTU ACHANWA VIWEMBE

Gabriel Ng’osha AMA kweli dunia katili! Mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la Asha Idd (27), mkazi wa Tabata jijini Dar, amepata majeraha mwilini na kichwani kufuatia kuchanwa na viwembe na mtu aliyedaiwa kumkopesha fedha kiasi cha shilingi laki moja (100,000) na kushindwa kumrejeshea, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Akiwa na majereha baada ya kujeruhiwa kwa viwembe. Duru za habari zilieleza kwamba, kabla ya kufanyiwa kitu...

 

11 years ago

GPL

MREMBO ACHANWA NA VIWEMBE KWA WIVU

Stori: Issa Mnally INASIKITISHA sana! Stela Mbinga ambaye ni mke wa mtu, mkazi wa Tegeta - Kontena jijini Dar amepata balaa kubwa baada ya kuchanwachanwa uso wake kwa viwembe na jirani yake aliyefahamika kwa jina la Zakia Mohamed. Stella Mbinga akiwa na majeraha ya viwembe. Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa, Zakia na Stella kwa muda mrefu wamekuwa wakiishi maisha ya uhasama na kuringishiana hali iliyojenga chuki...

 

10 years ago

GPL

TUHUMA NZITO: MAMA AMCHARANGA VIWEMBE MWANAYE

Stori: Gabriel Ng’osha na Denis Mtima/Ijumaa
Unyama wa kutisha! Mama mzazi aliyetajwa kwa jina la Feromena, mkazi wa Meko-Mtongani, Kunduchi jijini Dar, anatuhumiwa kumcharanga viwembe mwanaye wa kumzaa aliyetajwa kwa jina moja la Zena mwenye umri wa miaka kumi. Mtoto anayefahamika kwa jina la Zena anayedai kunyanyaswa na mama yake. Tukio hilo la kulaaniwa lilijiri Jumanne wiki hii nyumbani kwa mwanamke huyo maeneo hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

SHERIA MKONONI: Ajeruhiwa kwa viwembe akituhumiwa ugoni

>Mkazi mmoja wa Mtaa wa Msamvu B mjini hapa,  Rehema Juma amekatwakatwa na wembe shavuni na mkononi kisha kuvuliwa nguo na kupigwa na jirani yake akimtuhumiwa kutembea na mumewe.

 

10 years ago

GPL

MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!

Na Gladness Mallya na Shani Ramadhani
Inauma sana! RB namba KMR/RB/7911/2014-KUJERUHI iliyopo kwenye Kituo cha Polisi cha Mbezi-Kwayusuph jijini Dar, inamshikilia mama aliyetajwa kwa jina moja la Schola , mkazi wa Kibanda cha Mkaa, Mbezi kwa shitaka la kumchana kwa viwembe mwanaye Mwajuma (6) aliyezibwa usoni kwa sababu ya kukojoa kitandani. Mtoto Mwajuma aliyechanjwa viwembe sehemu za siri na mama yake. Akizungumza kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Chumvi yateketezwa

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa TBS, Roida AndusamileSHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), limeteketeza tani moja na nusu ya chumvi ya Sea Salt, inayozalishwa na Kampuni ya Sea Salt Food Limited ya Bagamoyo mkoani Pwani, kutokana na kuwa chini ya kiwango cha ubora kinachotakiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Sukari ama chumvi?

Nakuomba editori, utangaze vitu hivi, Naandika ushairi, kwa furaha si ugomvi, Asili ya kusubiri, ni utowe utauvi, Ama sukari na chumvi, chumvi ni kitu muhimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazalishaji chumvi watengewa mil 62/-

HALMASHAURI ya Wilaya ya Ikungi imetenga sh. milioni 62.8 kwa ajili ya kuwakopesha kinamama na vijana wanaozalisha chumvi kwa mwaka wa fedha 2014/15. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu...

 

10 years ago

GPL

JE, VIDONDA VYA TUMBO VINATIBIKA?-2

Kama tulivogusia wiki iliyopita kuhusiana na visababishi vinavyoweza sababisha tatizo hili la vidonda vya tumbo, navyo ni kama;•Kutofuata ratiba nzuri ya chakula.
•Mawazo (Stress). •Kula chakula kingi kupita kiasi, hii imekuwa kama hali ya kawaida hasa kwa wanaume wengi na hata wengine kudiriki kusema kwamba “Sifa ya mwanaume ni kula sana” wakati hii siyo sahihi na kama mwanadamu anakuwa na tabia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani