MREMBO ACHANWA NA VIWEMBE KWA WIVU
![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LtR2Kc-lRKggApWUqxhW4GCC*MxkVUVoLv42LmIYDzxc*eFzRcCAT1VDTIhtsfaDtSkx6gWR6SPNe5aE9ySQgWm/BACKRISASIJTANO.jpg)
Stori: Issa Mnally INASIKITISHA sana! Stela Mbinga ambaye ni mke wa mtu, mkazi wa Tegeta - Kontena jijini Dar amepata balaa kubwa baada ya kuchanwachanwa uso wake kwa viwembe na jirani yake aliyefahamika kwa jina la Zakia Mohamed. Stella Mbinga akiwa na majeraha ya viwembe. Habari kutoka eneo la tukio zinasema kuwa, Zakia na Stella kwa muda mrefu wamekuwa wakiishi maisha ya uhasama na kuringishiana hali iliyojenga chuki...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrJ-2NFdVIvvtehsKdlk4s8FH32a4GE5bTeyzQNUw-jFOQY44LJNYPy1hk2yWHDy5wgVQKH4nZXHOomN*TWHyBAF/mkee.jpg?width=650)
MKE WA MTU ACHANWA VIWEMBE
10 years ago
Habarileo05 Nov
Mtoto achanwa viwembe, vidonda vyawekwa chumvi
POLISI mkoani hapa wanamshikilia Tausi Omary (30), mkazi wa kata ya Chamwino, Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kujeruhi mtoto wa dada yake, Jafari Mashaka (11) kwa kumchanachana mguuni kwa wembe na kisha kuweka chumvi kwenye vidonda, kwa madai ya kumwimbia fedha kiasi cha Sh 4,500.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORyVvAgV*ZD-*84TXlJvhOIPxAMOnfZaRkdkNl5mj1JC-HAg-R41ifqa1LxDJfrPze0x2ZdrOVoxyHCmNsimBiS/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AZUA KASHESHE, KISA WIVU WA MAPENZI!
11 years ago
Mwananchi08 Jul
SHERIA MKONONI: Ajeruhiwa kwa viwembe akituhumiwa ugoni
10 years ago
Habarileo11 Feb
Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu
MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka
11 years ago
Mwananchi20 May
Ajinyonga kwa wivu wa mapenzi
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Auawa kwa wivu wa mapenzi
MWANAKIJIJI cha Itenka Tarafa ya Nsimbo wilayani Mlele Katavi, Mary Magese (39) ameuwawa na mwili wake kutupwa katika kisima cha maji. Mauaji hayo yalifanyika Septemba 14 mwaka huu saa mbili...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Aua kwa wivu wa mapenzi
MTU mmoja, Juma Zengo Ulata (28) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kumpiga nondo ya kichwa na kumsababishia kifo Issa Mihayo Shilia (40), mkazi wa Shinyanga Tanzania Bara baada ya kumtuhumu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mkewe huko Bambia wilaya ya Kati Unguja.