TUHUMA NZITO: MAMA AMCHARANGA VIWEMBE MWANAYE
![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DcwImQmcCFLvMU-aOeaL4u9OSpkwcEIQM5VSv4-U0icJDWF*QlX1K1cJ2xE8V*pjRe0AgcjTKFkAKVlZdE3XelM/BACK.jpg)
Stori: Gabriel Ng’osha na Denis Mtima/Ijumaa Unyama wa kutisha! Mama mzazi aliyetajwa kwa jina la Feromena, mkazi wa Meko-Mtongani, Kunduchi jijini Dar, anatuhumiwa kumcharanga viwembe mwanaye wa kumzaa aliyetajwa kwa jina moja la Zena mwenye umri wa miaka kumi. Mtoto anayefahamika kwa jina la Zena anayedai kunyanyaswa na mama yake. Tukio hilo la kulaaniwa lilijiri Jumanne wiki hii nyumbani kwa mwanamke huyo maeneo hayo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZdLRTWtLaW0B7UTQHnLWUmgh5aZCLUJq0o4DJz1crpeu9tq5jYb7oE3-1dasZSRTOpIXr1kQURb49Hw1EbBXb-/mtotoviwembe.jpg)
MAMA ADAIWA KUMCHANA MWANAYE VIWEMBE SEHEMU ZA SIRI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HiP8Na2MwiV6dRqksoht1s8FZx0XVX8tyOasWDlRRx4cbQfz1mIo2GrYEpOvCojR3*pd1iM7Qsk6k3tYS7CPrbF/mamalulu.jpg?width=650)
MAMA WA LULU ATUPIWA TUHUMA NZITO, ANG’AKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QdRHhKxeimUZcp5Z*21CoF4Xn7p2gyAVtRyz4X4hUexITG8Zar*YXUq0dkAnnXeuN8oNhVjT5FP6qlk8S79Mv9*/snura.jpg?width=650)
SNURA TUHUMA NZITO
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Tuhuma nzito kwa mawaziri
11 years ago
KwanzaJamii06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUUA MWANAYE
11 years ago
CloudsFM06 Aug
INSPEKTA WA POLISI MBARONI KWA TUHUMA ZA KUMUUA MWANAYE
Jeshi la Polisi linamshikilia Inspekta wake, Celestine Makene (40) kwa madai ya kumpiga hadi kumsababishia kifo mtoto wa kaka yake, Alerd Makene (16).
Makene anadaiwa kutenda kosa hilo Julai 24, mwaka huu katika makazi ya polisi, Mtoni Kijichi, Dar es Salaam na anashikiliwa katika Kituo cha Chang’ombe.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Kihenya wa Kihenya alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema marehemu Alerd alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari Mbagala...
11 years ago
Mwananchi18 May
Tuhuma nzito Bajeti Nishati na Madini
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Mkurugenzi wa Camatec ashushiwa tuhuma nzito
11 years ago
Mwananchi07 Aug
UKATILI: Inspekta wa Polisi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwanaye