‘kuandika habari za siasa kumenifanya niwe mbunge’
“Wakati nikiwa mwanafunzi, sikuwahi hata kuota ndoto kama kuna siku nitakuwa mbunge, fikra hizo zilinijia wakati nikiwa mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi nilipobobea kuripoti habari za siasa na uchaguzi.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Dec
Waandishi wa habari wajengewa uwezo Mtwara kuandika Habari Za Gesi Na Mafuta
Mradi wa kuwajengea uwezo waandishi wa habari wanaoandika habari za gesi na mafuta katika nchi tatu za Afrika, Tanzania, Uganda na Ghana unaoendeshwa na chama cha waandishi wa habari za Mazingira JET pamoja na wadau wengine umeanza kuzaa matunda baada ya kuwepo kwa ongezeko la habari zinazogusa sekta hiyo mpya hapa nchini.
Katika awamu ya pili ya mafunzo hayo kwa waandishi wa habari wanane wa Tanzania ambao hapo awali walihudhuria mafunzo hayo mjini Accra Ghana, imebainishwa kuwa tangu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xESQbmuxWTA/XtYDuk9aurI/AAAAAAALsSY/s8_Z-3oytzQUZ8YaBz3PaZU6YQn0yhsDQCLcBGAsYHQ/s72-c/16513870_101.jpg)
JET YAENDELEA KUWANOA WAANDISHI WA HABARI KUANDIKA HABARI ZINAZOHUSU UHIFADHI WA MAZINGIRA,WANYAMAPORI
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania(JET) imevikumbusha vyombo vya habari nchini kuwa vinavyo nafasi kubwa ya kuwezesha watunga sera kutunga sera zitakazosaidia kukabiliana na biashara haramu ya wanyama pori pamoja na ujangili.
Kwa upande wa jamii nayo imeelezwa wanalo jukumu la kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya uhifadhi wa mazingira na wanyamapori kusimama imara katika kukomesha uharibifu wa mazingira na zaidi biashara haramu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-da70CpoUj0E/U_8QMl0dT5I/AAAAAAAGKjc/uxhbgBGJk7w/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VhgFPDQ0kLg/U_8QIXDpTEI/AAAAAAAGKjU/uy8XMXQOL_Q/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PY0XzAI5dpU/U_8QOT8cD-I/AAAAAAAGKjk/-eOx_rLGqTE/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPgvFiL8wxMlZ9*-4A1ElSSP7kg-*8aW142p*qVs7LgsV7HWFyFsKwbqNsUgFPlR9qdhqP13HFmZB0LNu7ypPjOS/l1.jpg?width=650)
MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA HABARI BILA KUPOTOSHA UMMA
10 years ago
Dewji Blog28 Aug
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta avitaka Vyombo vya Habari kuandika habari bila kupotosha Umma
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta akiongea na waandishi wa Habari huku akiwaasa kuacha chuki katika masuala yanayohusu mchakato wa Katiba.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta amevitaka vyombo vya habari nchini kuacha uchochezi na chuki wakati vinapohabarisha umma kuhusiana na mchakato wa Katiba Mpya.
Kauli hiyo nimetolewa leo na Mhe. Sitta wakati alipokutana na baadhi ya waandishi wa habari katika viwanja vya...
9 years ago
MichuziPROF. OLE GABRIEL AVIPONGEZA VYOMBO VYA HABARI KWA KAZI KUBWA WALIYOIFANYA YA KUANDIKA HABARI ZA UCHAGUZI ULIOFANYIKA HIVI KARIBUNI
Vyombo vya habari nchini vimepongezwa kwa kazi kubwa waliyoifanya ya kutoa taarifa kwa wananchi wakati wa uchaguzi mkuu uliofanyika mwishoni mwa mwezi wa 10 mwaka huu.
Pongezi hizo zimetolewa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel wakati akiongea na viongozi wa menejimenti ya wizara na taasisi zake kwenye kikao cha kazi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.
Prof. Gabriel alisema kipindi cha uchaguzi vyombo...
10 years ago
Habarileo18 Aug
TSN yaahidi kuendelea kuandika habari za wananchi
KAMPUNI ya Tanzania Standard Newspapers (TSN) Ltd imesisitiza kuendelea kujikita zaidi katika kuandika habari za wananchi zisizojadili watu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4hruq-QPhs/Xux8qOVGbVI/AAAAAAALuj4/QALD5HWKBB0ywEZkUUzFFg2bCFPXjlzAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200613_122126_145.jpg)
WAANDISHI WA HABARI WAOMBWA KUANDIKA MAMBO MAZURI YANAYOFANYWA NA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4hruq-QPhs/Xux8qOVGbVI/AAAAAAALuj4/QALD5HWKBB0ywEZkUUzFFg2bCFPXjlzAACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200613_122126_145.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-0QaQPcsSlBk/Xux8plXC01I/AAAAAAALuj0/nKEOzaU17VoEqTIk77F-L2LZd7i4WJwqQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200613_133830_193.jpg)
11 years ago
Michuzi08 Jul
WANAHABARI WATAKIWA KUANDIKA HABARI ZA VVU NA UKIMWI ZENYE KULETA MATUMAINI
![DSC_0017](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/DSC_0017.jpg)