Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho atetea kumweka Costa nje

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesema mshambuliaji wake Diego Costa hayuko tayari kuanza katika michezo zaidi ya mitatu kwa wiki baada ya kumtumia kama mchezaji wa akiba katika mchezo wa juzi dhidi ya Schalke.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Adhabu ya Costa yamkera Mourinho

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amekerwa na uamuzi wa Chama cha Soka England (FA) kumfungia mechi tatu mshambuliaji wake, Diego Costa akisema utaiumiza klabu yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho adai Diego Costa anaonewa

Meneja wa Chelsea Jose Mourinho amedai mshambuliaji wake Diego Costa amekuwa akionewa na maafisa wasimamizi wa soka.

 

10 years ago

TheCitizen

Mourinho, Wenger clash over bothersome Costa

Diego Costa provided the lightning conductor as the longstanding friction between Chelsea and Arsenal crackled to the fore during his side’s ill-tempered 2-0 victory in the Premier League.

 

9 years ago

Mtanzania

Mourinho: Costa wala hawezi kunisumbua

MouCostaLONDON, ENGLAND

KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho, amesema kuwa mshambuliaji wake, Diego Costa, hawezi kumsumbua kutokana na tabia yake ya utovu wa nidhamu.

Mchezaji huyo juzi hakupata nafasi ya kucheza katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Tottenham, ambapo timu hizo zilitoka suluhu, lakini alisimamishwa dakika ya 82 na kuanza kufanya mazoezi ya kupasha misuli ili aweze kuingia, lakini hadi dakika 90 zinamalizika hakupata nafasi hiyo.

Kutokana na hali hiyo, Costa aliamua kuvua jezi ya juu ambayo...

 

11 years ago

GPL

MOURINHO: COSTA HAWEZI KUCHEZA MECHI TATU KWA WIKI

Mshambuliaji wa timu ya Chelsea, Diego Costa. Kocha wa timu ya Chelsea, José Mário dos Santos Mourinho Félix 'Jose Mourinho'. KOCHA Jose Mourinho amesema kwamba Diego Costa hawezi kucheza mechi tatu kwa wiki Chelsea kwa sababu ya maumivu ya nyama aliyoyapata akiitumikia timu yake ya taifa, Hispania. Costa, amefunga mabao saba katika mechi nne za awali Chelsea,… ...

 

10 years ago

Habarileo

UVCCM kumweka kitimoto Nyalandu

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro NyalanduSAKATA baina ya Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Singida Vijijini limechukua sura mpya baada ya kikao cha Baraza la Jumuiya hiyo kuazimia kuitisha mkutano mkuu ili kumjadili.

 

10 years ago

Mtanzania

Baraza la Maadili kumweka kikaangoni Ngeleja

willium NgelejaAziza Masoud na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma jana liliahirisha shughuli za kumhoji Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma, baada ya eneo la mahojiano, Ukumbi wa Karimjee kutumika kwa shughuli za kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba.
Kutokana na hali hiyo, baraza hilo litaendelea na shughuli zake leo ambapo Mujunangoma atahojiwa kutokana na tuhuma za kupokea...

 

10 years ago

Mwananchi

Sera kumweka Rais madarakani - utafiti Twaweza

Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa sera ndiyo kigezo muhimu watakachokitumia wananchi kumchagua Rais katika Uchaguzi Mkuu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani