Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mourinho:Taji la mchezaji bora lifutwe

Mkufunzi wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kwamba taji la mchezaji bora duniani Ballon d'Or linafaa kuondolewa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Meyiwa kuwania taji la mchezaji bora

Marehemu Senzo Meyiwa ni mmoja ya walioteuliwa kuwania taji la mwanasoka bora barani afrika.

 

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Mourinho aipa taji Man City

>Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesisitiza Manchester City bado wananafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu pamoja na kikosi chake kukalia usukani kwa mara ya kwanza tangu Septemba.

 

9 years ago

MillardAyo

Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!!

Ikiwa bado tunaelekea katika kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa vilabu vya barani Ulaya, bado zile headlines za kocha huyu ataenda huku na mchezaji huyu ataenda kule zinachukua nafasi. Aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho, December 30 zimetoka stori za klabu ya kibrazil imeomba kutaka kumuajiri. Ibis […]

The post Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!! appeared first on...

 

9 years ago

Mtanzania

Kiiza mchezaji bora Simba

KIIZANA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MSHAMBULIAJI wa Simba, Hamis Kiiza ‘Diego’, ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Septemba wa timu hiyo, iliyotolewa kabla ya kuanza kwa mazoezi yao Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) jana.

Kiiza amepewa zawadi ya tuzo yenye picha ya kiatu pamoja na mpira na kiasi cha fedha cha Sh 500,000, akiwapiku wachezaji wenzake ambao nao walikuwa wakiishindania. Tuzo hiyo ya Kiiza imetokana na moto wake wa kufunga mabao Ligi Kuu akiwa kileleni amefunga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Michael Carrick ni mchezaji bora

Kocha wa zamani wa Manchester United Sir Alex Ferguson amesema Michael Carrick ndie mchezaji bora wa kingereza kwa sasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tuzo ya mchezaji bora Afrika.

Mbwana Samatta leo hii anatarajia kuwasili nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika

 

10 years ago

Mwananchi

Ronaldo mchezaji bora wa Ulaya

Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Ulaya kwa kuwapiku nyota wa Bayern Munich, Manuel Neuer na Arjen Robben.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani