Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!!
Ikiwa bado tunaelekea katika kipindi cha dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa vilabu vya barani Ulaya, bado zile headlines za kocha huyu ataenda huku na mchezaji huyu ataenda kule zinachukua nafasi. Aliyekuwa kocha wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Jose Mourinho, December 30 zimetoka stori za klabu ya kibrazil imeomba kutaka kumuajiri. Ibis […]
The post Timu mbovu kuliko zote duniani inataka kumuajiri Mourinho, eti akitwaa taji la Ligi wanamfukuza !!! appeared first on...
MillardAyo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s72-c/dartz-1.jpg)
DARTZ SUV GHALI KULIKO ZOTE DUNIANI
![](http://media.vorotila.ru/ru/items/t1@8663c84e-4afb-4cb0-8b2b-33ef70a10bdf/Dartz-Motorz.jpg)
Dartz ndiyo SUV ghali kuliko zote Duniani inatengenezwa na kampuni ya Dartz Motorz ya Urusi SUV hii inauzawa kwa $225,000
![](http://2.bp.blogspot.com/-7af0mPKLqYA/UiYR6xbHqeI/AAAAAAAAF6Y/uDPlra2ddao/s1600/dartz-1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Taji la ligi ya England: Jinsi kocha Jurgen Klopp alivyoisaidia Liverpool kushinda taji la Ligi ya Primia.
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho …
Hizi ni stori au mkusanyiko wa mawazo ya waandishi wa habari wa Uingereza na wchambuzi wa masuala ya soka Uingereza, Jose Mourinho na Louis van Gaal ndio makocha ambao walikuwa wanahusishwa kwa kiasi kikubwa kupewa nafasi ya kufukuzwa kazi kutokana na mwenendo wa timu zao. Tayari Jose Mourinho kafukuzwa Chelsea ila hatujui Man United wataamua […]
The post Sababu nne za kwa nini Man United wanatakiwa wamfukuze Louis van Gaal na kumuajiri Jose Mourinho … appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies04 May
Eti Wema Mrembo Kuliko Zari!
Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fursa na kuzitumia katika ‘kufaiti’ kupata mafanikio (utajiri) kwenye maisha.
Ndivyo alivyo mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ ambaye humwambii kitu linapokuja suala la kuona fursa na kuzifanyia kazi.
Pamoja na sifa hiyo iliyomfanya Zari kuwa mmoja wa mastaa matajiri Afrika Mashariki lakini kwa mujibu wa mashabiki waliomuona ‘laivu’...
10 years ago
BBCSwahili09 Apr
Mourinho:Taji la mchezaji bora lifutwe
11 years ago
Mwananchi10 Feb
Kocha Mourinho aipa taji Man City
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s72-c/picha%2B1.jpg)
AIRTEL SMARTIFONIKA YALETA SIMU MPYA SOKONI NAFUU KULIKO ZOTE
![](http://1.bp.blogspot.com/--xl99hapjns/VijRTJ5EwJI/AAAAAAAIBsI/dC98ybPgTS0/s640/picha%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ayp70NlUZW4/VijRTFtLKXI/AAAAAAAIBsQ/rTmrpDtDlkE/s640/picha%2B1b.jpg)