Tusipowekeza katika michezo, tutaishia kuwa wasindikizaji
MASHINDANO ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) ya mwaka huu, yalifikia tamati mwishoni mwa wiki mjini Kibaha, Mkoani Pwani. Katika mashindano hayo, kanda ya mashariki imeibuka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-aVL1mPhjh-I/VCVJa5m60pI/AAAAAAAGl6s/bzC0ELLd-8k/s1600/TF1.jpg)
TIMU YA MICHEZO YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO YA HASWA KUWA MFANO KATIKA MASHINDANO YA SHIMIWI
Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasirimali Watu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Titus Mkapa akimkaribisha Mwenyekiti wa timu ya Wizara HUM Sports Club (hayupo pichani) ili atoa salama za wachezaji kwa mgeni rasmi wakati wa hafla fupi ya kuwaaga wachezaji wa timu hiyo leo jijini Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Timu ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (HUM Sports Club) Dkt. Margareth Mtaki...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s72-c/TF3.jpg)
Timu ya Michezo ya Wizara ya Habari ,Vijana,Utamaduni na Michezo ya haswa kuwa mfano katika mashindano ya SHIMIWI
![](http://2.bp.blogspot.com/-2NfAZBuhANk/VCVJbPjmHtI/AAAAAAAGl6o/HdCiV2YZ4ug/s1600/TF3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fimSY98DOpk/VCVJfbNVZRI/AAAAAAAGl68/ylNfyX7xV8w/s1600/TF4a.jpg)
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Tutajuta tusipowekeza katika sayansi, teknolojia
Jana tulichapisha habari kuhusu madaktari katika Chuo cha Tiba cha Amrita, nchini India ambao wamefanikiwa kufanya upasuaji wa aina yake wa kupandikiza mikono mipya kwa binadamu aliyekatika viungo hivyo. Upandikizaji huo ambao umefanyika kwa mara ya kwanza nchini humo ulimhusu mwanamume mwenye umri wa miaka 30, aliyekatika mikono katika ajali ya treni. Mikono hiyo mipya ilichukuliwa kutoka kwa kijana mwenye umri wa miaka 24 aliyefariki katika ajali ya gari.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s72-c/unnamed+(25).jpg)
Timu ya Tanzania kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola yakaribishwa rasmi leo katika kijiji maalum cha michezo hiyo Glasgow
![](http://2.bp.blogspot.com/-tw3I4pGpTrs/U81B9I1IQJI/AAAAAAAF4Zk/gsfvIwWNHE8/s1600/unnamed+(25).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MsQsA4MGUH4/U81CPq1azgI/AAAAAAAF4Zs/Ez3Ku5uJzjo/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q9fCvirgHPg/U81CR6aWs3I/AAAAAAAF4Z0/TR6-ys7TT3Y/s1600/unnamed+(26).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3NMnQSprXKg5ZmNuVFoQ1GtwqRNcNBKwO6Bg0r3ozs1oJugc8Hj3gEsYXUFosej**e9i-iaXpLKkBbsYwj*EINj/150000080.jpg)
SIASA ZA KEJELIâ€, ‬MATUSI TUTAISHIA GEREZANIâ€!‬
KWENU Watanzania wenzangu. Bila shaka kila mmoja kwa sasa anaendelea na majukumu yake huku siasa ikiwa imetawala kila sehemu. Kuanzia maofisini, vijiweni, kwenye usafiri wa umma, baa, vyuoni na kila sehemu ambayo inakuwa na mkusanyiko. Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Namshukuru Mungu naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kuwaandikia barua watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu.Leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9BcO3LHbhEFEy2GyK2E5CzlTuUXgwcuvn4gvyhMPM5xmEaszXRb6pppBo0niYfnfgpNePMU9GgG*4AC3kpUidj/luluu.jpg)
LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI
Stori: Imelda Mtema Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri. Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi.. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema...
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Hata 2015 tutakuwa wasindikizaji
Vyama vya michezo nchini mara kwa mara katika dakika za mwisho mwisho vimekuwa vikitafuta fedha kwa ajili ya kuwaweka kambini wanamichezo wao yanapokaribia mashindano ya kitaifa au kimataifa.
10 years ago
MichuziIKULU NI ZAMU YANGU WENGINE WASINDIKIZAJI - MONICA MBEGA
Na Matukiodaima Blog
WAKATI mbio za makada wa chama cha mapinduzi (CCM) waliotia nia ya kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa nafasi za urais zikiendelea kushika kasi kwa kila mgombea kutumia mbinu yake ya kuwafikia wana CCM kuomba udhamini , aliyekuwa mbunge wa jimbo la Iringa mjini Monica Mbega leo ameingia wilaya ya Iringa mjini mkoani hapa kuomba udhamini na kupata wajumbe 33 huku akiwataka watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za watia nia wenzake wanazofanya...
WAKATI mbio za makada wa chama cha mapinduzi (CCM) waliotia nia ya kuomba kuteuliwa kuwa wagombea wa nafasi za urais zikiendelea kushika kasi kwa kila mgombea kutumia mbinu yake ya kuwafikia wana CCM kuomba udhamini , aliyekuwa mbunge wa jimbo la Iringa mjini Monica Mbega leo ameingia wilaya ya Iringa mjini mkoani hapa kuomba udhamini na kupata wajumbe 33 huku akiwataka watanzania kutoaminishwa na mbwembwe za watia nia wenzake wanazofanya...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Monica Mbega: Ikulu ni zamu yangu wengine wasindikizaji
![3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/39.jpg)
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/012.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania