SIASA ZA KEJELIâ€, ‬MATUSI TUTAISHIA GEREZANIâ€!‬
![](http://api.ning.com:80/files/EDr-zswlq3NMnQSprXKg5ZmNuVFoQ1GtwqRNcNBKwO6Bg0r3ozs1oJugc8Hj3gEsYXUFosej**e9i-iaXpLKkBbsYwj*EINj/150000080.jpg)
KWENU Watanzania wenzangu. Bila shaka kila mmoja kwa sasa anaendelea na majukumu yake huku siasa ikiwa imetawala kila sehemu. Kuanzia maofisini, vijiweni, kwenye usafiri wa umma, baa, vyuoni na kila sehemu ambayo inakuwa na mkusanyiko. Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Namshukuru Mungu naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kuwaandikia barua watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu.Leo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Kipindupindu chaibukia Gerezani… wawili wamekwishafariki!
![shutterstock_121491385](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/shutterstock_121491385.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Tusipowekeza katika michezo, tutaishia kuwa wasindikizaji
MASHINDANO ya Umoja wa Michezo wa Shule za Sekondari Tanzania (UMISETA) ya mwaka huu, yalifikia tamati mwishoni mwa wiki mjini Kibaha, Mkoani Pwani. Katika mashindano hayo, kanda ya mashariki imeibuka...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/mPNKZ1VMfhM/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Matusi bungeni yamuibua JK
RAIS Jakaya Kikwete amekemea vitendo vya wajumbe wa Bunge la Katiba kuwatusi waasisi wa taifa hili na kusema huo ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu. Katika mazungumzo yake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJYZu2ig8hS3V1Rbl6f*CP4HtP0A68aTjJYVe6Qg1ejQfxzn3N13ZMBYiYzQbQDd33wmdoHSkAJrGdjOs6OLT-m/mainda.jpg?width=650)
AMANDA AMWAGIWA MATUSI FACEBOOK
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacI4i7Wy9sZmmDP7dKmdbcgIdepruXM9bLCGmrxHJKnjtv9AxbderDwZhEKWRYRKoUVHg-7RTd2I9dYfGB69aIq/Wolper.gif?width=650)
KISA LOWASSA AOGA MATUSI
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Siku 67 za mipasho, matusi bungeni