Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipindupindu chaibukia Gerezani… wawili wamekwishafariki!

shutterstock_121491385Mahabusu wawili wa Gereza la Wilaya ya Musoma mkoani Mara, wamefariki dunia baada ya kukumbwa na ugonjwa wa kipindupindu Mkuu wa gereza hilo, Shaku Humba alisema kuwa wafungwa saba na mahabusu watano walioripotiwa kuugua ugonjwa huo. Hata hivyo hakuwataja majina marehemu hao akisema kuwa hana mamlaka kisheria hadi hapo taratibu zitakapokamilika. Mganga Mkuu wa Manispaa ya Musoma, Dk Honorata Rutatenisigwa alisema mahabusu wanaogua ugonjwa huo wamelazwa katika kambi ya gereza hilo. Dk...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Kipindupindu chaua wawili Dodoma

ganjaWATU wawili wamefariki dunia na wengine zaidi ya 120 wamelazwa katika vituo vya kutolea huduma ya kwanza katika wilaya tano za Mkoa wa Dodoma kutokana na ugonjwa wa kipindupindu.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Ofisa Afya wa Mkoa wa Dodoma, Edward Ganja alisema watu wawili wamefariki dunia kutokana na ugonjwa huo katika Wilaya ya Kongwa.

Ugonjwa wa kipindupindu umeripotiwa kuingia mkoani hapa tangu Septemba mwaka huu katika wilaya za Kongwa, Chamwino, Bahi, Manispaa ya...

 

9 years ago

StarTV

Watu wawili wafariki mkoani Kagera kwa Ugonjwa Wa Kipindupindu

Mganga mkuu wa mkoa wa Kagera Dokta Thomas Rutachunzibwa amethibitisha kutokea kwa vifo vya watu wawili kutokana na ugonjwa wa kipindupindu mkoani humo.

Aidha Mganga huyo amesema hadi hivi sasa jumla ya wagonjwa kumi na wawili waliokutwa na vimelea vya ugonjwa huo,wanaendelea na matibabu katika kambi maalum iliyopo katika hospitali ya Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera.

Baada ya kuzuka kwa ugonjwa wa kutapika na kuharisha na kuthibitika kuwa si kipindupindu sasa imebainika wazi kuwa wagonjwa...

 

9 years ago

GPL

SIASA ZA KEJELI‭, ‬MATUSI TUTAISHIA GEREZANI‭!‬

KWENU Watanzania wenzangu. Bila shaka kila mmoja kwa sasa anaendelea na majukumu yake huku siasa ikiwa imetawala kila sehemu. Kuanzia maofisini, vijiweni, kwenye usafiri wa umma, baa, vyuoni na kila sehemu ambayo inakuwa na mkusanyiko. Mkitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima wa afya. Namshukuru Mungu naendelea vizuri na majukumu yangu ya kila siku likiwemo hili la kuwaandikia barua watu mbalimbali maarufu na wasio maarufu.Leo...

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

10 years ago

Bongo Movies

DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu

Ule usemi wa duniani  watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...

 

9 years ago

GPL

UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Leo tutachambua ugonjwa wa kipindupindu unaozikumba jamii mbalimbali na kuathiri nchi nyingi za Kiafrika Tanzania ikiwemo. Ugonjwa wa kipindupindu ni tatizo kubwa la kiafya kwa nchi zinazoendelea, ambako milipuko yake hutokea kufuatana na misimu ya hali ya hewa na kuhusishwa na suala la umaskini na usafi duni. gonjwa huo husababisha mtu kuharisha choo kingi cha maji maji ambacho hufanya maji kupungua haraka mwilini hali ambayo...

 

9 years ago

Mtanzania

100 waugua kipindupindu

kipindupinduNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

IDADI ya wagonjwa wa kipindupindu katika Mkoa wa Dar es Salaam imeongezeka kutoka 56 hadi 86.

Idara ya Kinga katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pia ilisema jana kuwa, kuna wagonjwa 14 wa kipindupindu katika Mkoa wa Morogoro.

Mtaalamu wa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika idara hiyo, Elibariki Mwakapeje, alitoa takwimu hizo jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya siku moja kuwaelimisha waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo.

“Tunahitaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kipindupindu chapungua DAR

05-kipindupindu

Moja ya kambi ya wagonjwa wa Kipindupindu jijini Dar.

Na Jacquiline Mrisho- Maelezo

Idadi ya wagonjwa wa kipindupindu jijini Dar es salaam imepungua kufikia wagonjwa kumi na mbili (12) kwa mkoa mzima, huku wilaya ya Temeke ikiwa na wagonjwa saba,Kinondoni wagonjwa wanne na Ilala ikiwa na mgonjwa mmoja

Haya yamezungumzwa na Mratibu wa Magonjwa  ya kuambukiza wa Jiji la Dar es salaam  Bw. Alex Mkamba ofisini kwake jana akielezea jinsi gani mkoa umefanikisha kupambana na kipindupindu kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani