Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


100 waugua kipindupindu

kipindupinduNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

IDADI ya wagonjwa wa kipindupindu katika Mkoa wa Dar es Salaam imeongezeka kutoka 56 hadi 86.

Idara ya Kinga katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pia ilisema jana kuwa, kuna wagonjwa 14 wa kipindupindu katika Mkoa wa Morogoro.

Mtaalamu wa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika idara hiyo, Elibariki Mwakapeje, alitoa takwimu hizo jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya siku moja kuwaelimisha waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo.

“Tunahitaji...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAKALA KUHUSU UGONJWA WA KIPINDUPINDU: Tujilaumu Watanzania kwa kuugua Kipindupindu

Na  Raymond Mushumbusi- MAELEZO
Kipindupindu ni ugonjwa wa kuharisha na kutapika unaosababishwa na vimelea vya bacteria vinavyoitwa kwa lugha ya kitaalam “vibro cholera”. Chanzo cha kikubwa cha ugonjwa huu huletwa na vimelea vilivyomo kwenye kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu.
Kwa miaka mingi sasa wananchi wa Tanzania tumekumbwa na magonjwa ya aina mbalimbali ya mlipuko ukiwemo ugonjwa wa kipindupindu ambao umeenea kwa kasi kubwa sana kutokana na kuwepo kwa mazingira hatarishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Milioni 390 waugua dengue

IMEELEZWA kuwa watu milioni 390 huugua ugonjwa wa dengue huku 25,000 wakipoteza maisha kila mwaka duniani kutokana na ugonjwa huo. Mtaalamu wa udhibiti na ufuatiliaji wa magonjwa, Dk. Geofrey Mchau,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Ujerumani waugua mafua

Wachezaji 7 wa Ujerumani, wanaugua mafua , saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa.

 

10 years ago

Mtanzania

Wakimbizi 500 wa Burundi waugua kipindupidu

steven kebweNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
UGONJWA wa kipindupindu umelipuka katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo mkoani Kigoma ambako wakimbizi 558 kutoka Burundi wamekumbwa na ugonjwa huo.
Pamoja na kuibuka kipindupidu katika kambi hiyo, watu 15 walikuwa wamefariki dunia kufikia juzi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Steven Kebwe, alisema Aprili 24 mwaka huu, wakimbizi 2,458 walikuwa wakiharisha na kutapika katika kambi hiyo huku sampuli 11 kati ya...

 

11 years ago

GPL

WANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA

Bibi Zaina Athumani. Stori: Makongoro Oging’
HII nayo ni kali na haijawahi kutokea. Wakazi wawili wa Vingunguti kwa Simba Mbili jijini Dar akiwemo mwenye nyumba wamekimbizwa hospitalini na polisi baada ya kunyweshwa dawa na mganga wa kienyeji waliyemleta ili azindike nyumba yao. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita Vingunguti nyumbani kwa Zaina Athumani,70, ambaye ndiye mwenye nyumba aliyeleta mganga huyo ili azindike...

 

11 years ago

CloudsFM

WACHEZAJI WA UJERUMANI WAUGUA MAFUA ZIKISALIA SAA CHACHE KUINGIA DIMBANI #Brazuka

Wachezaji saba wa Ujerumani, wanaugua mafua,saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa. Kocha Joachim Low amesema kuwa wengi wanaumwa na koo ingawa hakutaja majina ya wachezaji wagonjwa."Ni mapema sana kufanya uamuzi wowote kuhusu orodha ya wachezaji watakaoingia uwanjani, '' alisema Low Mats Hummels na Christoph Kramer waliugua mapema wiki hii huku Mat akikosa mechi ya muondoano dhidi ya Algeria Jumatatu.
Low anaamini kuwa mazingira ya Brazil na safari za hapa na pale...

 

9 years ago

Michuzi

The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl” or an “ideal woman”

On 1st December, BBC 100 Women – a season dedicated to shining a light on women’s lives around the world –will bring together a series of debates from across the globe, to be broadcast live on television on BBC World News, on Radio on the BBC World Service and online on bbc.com.
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...

 

9 years ago

Dewji Blog

Brand Africa to Announce the Africa’s Top 100 Most Admired and Most Valuable Brands at the 4th Annual Brand Africa 100

brand-africa (1)

-The scope and sample countries have been vastly expanded from a base of 8 countries in the past years to 22 countries covering every leading African economy

Brand Africa (www.brandafrica.org) is to release its highly anticipated 4th Brand Africa 100:  Africa’s Best Brands rankings of the Top 100 Most Admired and Most Valuable brands in Africa at a Gala event at Sandton Convention Center on 22 October 2015. 

The rankings, first launched in 2011 at the second Brand Africa FORUM, have been...

 

9 years ago

GPL

UGONJWA WA KIPINDUPINDU

Leo tutachambua ugonjwa wa kipindupindu unaozikumba jamii mbalimbali na kuathiri nchi nyingi za Kiafrika Tanzania ikiwemo. Ugonjwa wa kipindupindu ni tatizo kubwa la kiafya kwa nchi zinazoendelea, ambako milipuko yake hutokea kufuatana na misimu ya hali ya hewa na kuhusishwa na suala la umaskini na usafi duni. gonjwa huo husababisha mtu kuharisha choo kingi cha maji maji ambacho hufanya maji kupungua haraka mwilini hali ambayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani