WACHEZAJI WA UJERUMANI WAUGUA MAFUA ZIKISALIA SAA CHACHE KUINGIA DIMBANI #Brazuka
Wachezaji saba wa Ujerumani, wanaugua mafua,saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa. Kocha Joachim Low amesema kuwa wengi wanaumwa na koo ingawa hakutaja majina ya wachezaji wagonjwa."Ni mapema sana kufanya uamuzi wowote kuhusu orodha ya wachezaji watakaoingia uwanjani, '' alisema Low Mats Hummels na Christoph Kramer waliugua mapema wiki hii huku Mat akikosa mechi ya muondoano dhidi ya Algeria Jumatatu.
Low anaamini kuwa mazingira ya Brazil na safari za hapa na pale...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jul
Wachezaji wa Ujerumani waugua mafua
9 years ago
Mwananchi10 Nov
Bibi harusi atoroka saa chache kabla ya ndoa
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!!
Najua wakristo wengi duniani wanahesabu saa chache kuifikia December 25, siku ambayo inasherehekewa sikukuu ya Christmas kila mwaka… kama na wewe umejiandaa vizuri na sherehe hiyo basi nikutakie heri mtu wangu, lakini stori ina kichwa cha habari tofauti kutoka Somalia. Serikali ya Somalia imepiga marufuku sherehe za christmas kwa siku ya kesho, moja ya sababu […]
The post Saa chache zimebaki kusherehekea christmas lakini kwingine imepigwa marufuku!! appeared first on...
9 years ago
MillardAyo31 Dec
Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi..
Tukiwa tumebakiza masaa machache kabla ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016, Jeshi la Polisi limetoa tahadhari kuelekea mkesha wa mwaka mpya. Katika taarifa ya Jeshi hilo iliyotolewa na msemaji Advera Bulimba imesema wamejipanga vyema kukabiliana na vitendo vya uhalifu vitakavyojitokeza na kuimarisha ulinzi katika fukwe za bahari na maeneo mbalimbali ya starehe. Taarifa hiyo […]
The post Saa chache kabla ya kufunga mwaka kuna hii taarifa kutoka Jeshi la Polisi.. appeared first on...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid …
Mapenzi ya wachezaji katika vilabu fulani barani Ulaya, imekuwa kawaida hata kama hawavichezei. December 28 klabu ya FC Barcelona imeingia kwenye headlines baada ya kumsainisha mchezaji na kisha kufuta mkataba wake masaa machache baada ya kugundua kuwa ametweet vitu ambavyo vinaihusu timu ya Real Madrid. Baada ya kufuzu majaribio na Barcelona B Sergi Guardiola alisaini […]
The post FC Barcelona yavunja mkataba na mchezaji saa chache baada ya kumsajili, kisa Real Madrid … appeared first on...
11 years ago
BBCSwahili28 May
Wachezaji 2 wa Ujerumani katika ajali
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Maximo, wachezaji wateta saa moja
KOCHA mpya wa Yanga, Mbrazil Marcio Maximo, jana alifanya kikao na wachezaji wake kwa zaidi ya saa moja na nusu wakiweka mikakati mbalimbali ya kufanya vizuri msimu ujao wa Ligi...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IEFAcZYya18/U7clPnqoJbI/AAAAAAAFvG4/FNnKo0kIGIY/s72-c/article-2681056-1F65C6AF00000578-24_964x496.jpg)
brazil yaipiga columbia 2-1 kuingia nusu fainali, kupambana na Ujerumani Jumanne
![](http://1.bp.blogspot.com/-IEFAcZYya18/U7clPnqoJbI/AAAAAAAFvG4/FNnKo0kIGIY/s1600/article-2681056-1F65C6AF00000578-24_964x496.jpg)
Hivyo ngoma imeisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xoY3sTUpJ6Y/VNBlWX08eVI/AAAAAAAHBPk/BieRUBKP3NE/s72-c/download.jpg)
ANGALIA MAPOKEZI YA RAIS WA UJERUMANI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LIVE KUANZIA SAA TATU UNUSU ASUBUHI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-xoY3sTUpJ6Y/VNBlWX08eVI/AAAAAAAHBPk/BieRUBKP3NE/s1600/download.jpg)
KUANGALIA MAPOKEZI HAYO NA MAMBO MENGINEBOFYA HAPA