Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Milioni 390 waugua dengue

IMEELEZWA kuwa watu milioni 390 huugua ugonjwa wa dengue huku 25,000 wakipoteza maisha kila mwaka duniani kutokana na ugonjwa huo. Mtaalamu wa udhibiti na ufuatiliaji wa magonjwa, Dk. Geofrey Mchau,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

100 waugua kipindupindu

kipindupinduNa Veronica Romwald, Dar es Salaam

IDADI ya wagonjwa wa kipindupindu katika Mkoa wa Dar es Salaam imeongezeka kutoka 56 hadi 86.

Idara ya Kinga katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii pia ilisema jana kuwa, kuna wagonjwa 14 wa kipindupindu katika Mkoa wa Morogoro.

Mtaalamu wa Ufuatiliaji wa Magonjwa ya Mlipuko katika idara hiyo, Elibariki Mwakapeje, alitoa takwimu hizo jijini Dar es Salaam wakati wa semina ya siku moja kuwaelimisha waandishi wa habari kuhusu ugonjwa huo.

“Tunahitaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Ujerumani waugua mafua

Wachezaji 7 wa Ujerumani, wanaugua mafua , saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa.

 

11 years ago

GPL

WANYWA DAWA YA MGANGA WA KIENYEJI, WAUGUA

Bibi Zaina Athumani. Stori: Makongoro Oging’
HII nayo ni kali na haijawahi kutokea. Wakazi wawili wa Vingunguti kwa Simba Mbili jijini Dar akiwemo mwenye nyumba wamekimbizwa hospitalini na polisi baada ya kunyweshwa dawa na mganga wa kienyeji waliyemleta ili azindike nyumba yao. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita Vingunguti nyumbani kwa Zaina Athumani,70, ambaye ndiye mwenye nyumba aliyeleta mganga huyo ili azindike...

 

10 years ago

Mtanzania

Wakimbizi 500 wa Burundi waugua kipindupidu

steven kebweNA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
UGONJWA wa kipindupindu umelipuka katika kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo mkoani Kigoma ambako wakimbizi 558 kutoka Burundi wamekumbwa na ugonjwa huo.
Pamoja na kuibuka kipindupidu katika kambi hiyo, watu 15 walikuwa wamefariki dunia kufikia juzi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Steven Kebwe, alisema Aprili 24 mwaka huu, wakimbizi 2,458 walikuwa wakiharisha na kutapika katika kambi hiyo huku sampuli 11 kati ya...

 

11 years ago

CloudsFM

WACHEZAJI WA UJERUMANI WAUGUA MAFUA ZIKISALIA SAA CHACHE KUINGIA DIMBANI #Brazuka

Wachezaji saba wa Ujerumani, wanaugua mafua,saa 24 kabla ya mechi yao ya robo fainali dhidi ya Ufaransa. Kocha Joachim Low amesema kuwa wengi wanaumwa na koo ingawa hakutaja majina ya wachezaji wagonjwa."Ni mapema sana kufanya uamuzi wowote kuhusu orodha ya wachezaji watakaoingia uwanjani, '' alisema Low Mats Hummels na Christoph Kramer waliugua mapema wiki hii huku Mat akikosa mechi ya muondoano dhidi ya Algeria Jumatatu.
Low anaamini kuwa mazingira ya Brazil na safari za hapa na pale...

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WA MUHEZA WAHAMASIKA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII, ZAIDI YA KAYA 65 ZENYE WANACHAMA 390 WAHAMASIKA NA KUJIUNGA PAPO HAPO

  Mkuu wa wilaya ya Muheza Subira Mgalu kushoto akipokea risiti ya malipo mara baada ya kujiunga kuwa mwanachama wa mfuko wa afya ya Jamii (CHF) leo wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika kwenye Kata ya Potwe wilayani humo anayemkabidhi risiti hiyo ni Afisa Tabibu wa Zahanati ya Potwe wilayani humo Dr.Samweli Mudhihiri ambapo zaidi ya kaya 65 zenye wanachama 390 walihamasika na kujiunga papo hapo. PICHA ZOTE NA OSCAR ASSENGA,TANGA.  Picha namba moja ni  Mkuu wa wilaya ya...

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa asema atapunguza mshahara wa Rais toka milioni 400 kwa mwezi hadi milioni mbili


Katika hotuba yake amesema haingii ikulu kutafuta fedha anaenda ikulu kwa kazi moja tu ya kuhakikisha wananchi wanakuwa na maendeleo . Amesema dhamira yake ni kuona taifa linasonga mbele kwa kasi ya ajabu.Amesema atapunguza mshahara wa Rais ambao analipwa hivi sasa dola 192,000 sawa na milioni mia nne kwa mwezi hadi kufikia milioni mbili kwa mwezi amesema kuna faida gani ya mtu kupokea mshahara wote huo ili hali wananchi wako hawana maji , zahanati hakuna dawa, pembejeo za kilimo zipo juu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtwara watahadharishwa na dengue

WANANCHI mkoani Mtwara wametakiwa kuchukua tahadhari wanapomuona mtu yeyote mwenye dalili za ugonjwa wa homa ya dengue kwa kumuwahisha hospitali ili afanyiwe vipimo mapema kwani dalili zake kama zinafanana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani