KISA LOWASSA AOGA MATUSI
![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacI4i7Wy9sZmmDP7dKmdbcgIdepruXM9bLCGmrxHJKnjtv9AxbderDwZhEKWRYRKoUVHg-7RTd2I9dYfGB69aIq/Wolper.gif?width=650)
Erick Evarist MTOTO mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.. Â ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1MHM6gb
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies24 Aug
Kisa Lowassa, Wolper Aoga Matusi
MTOTO mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.
Isabela aliamua kumtusi staa huyo akidai anamshanga kujinadi kila siku katika mtandao wa Instagram kuwa ni mfuasi wa Lowassa wakati amelelewa na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kupitia mtandao huo wa Istagram, Isabela aliamua kumtolea uvivu Wolper hadharani...
11 years ago
GPLNISHA AMWAGIWA MATUSI YA NGUONI KISA, MWANAUME
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Sv1Krh-SbuQ/VWy2hteF5XI/AAAAAAAAu74/tHpiBQZq1hg/s72-c/reginald-mengi_416x416.jpg)
MENGI Atukanwa kisa kurusha vipindi vya LOWASA..Anaka anaye mtumia SMS Za matusi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sv1Krh-SbuQ/VWy2hteF5XI/AAAAAAAAu74/tHpiBQZq1hg/s400/reginald-mengi_416x416.jpg)
Baada ya ITV kurusha matangazo ya moja kwa moja siku ndugu Lowassa alipotangaza nia, Mzee Mengi amelalamika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa wapo watu walimtukana sana, haswa mtu mmoja ambaye namba yake kaiweka hadharani.Kwanini Mengi atukanwe? Mbona ni vituo vingi vilikuwa Live? Mbona hata watangaza nia kama Wassira na Mwigulu ITV walirusha Live?
![](http://3.bp.blogspot.com/-kg8kmwzTBE8/VWy2-xmG7EI/AAAAAAAAu8A/8Crs4XwLdDk/s640/mengi.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Matusi bungeni yamuibua JK
RAIS Jakaya Kikwete amekemea vitendo vya wajumbe wa Bunge la Katiba kuwatusi waasisi wa taifa hili na kusema huo ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa adabu. Katika mazungumzo yake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJYZu2ig8hS3V1Rbl6f*CP4HtP0A68aTjJYVe6Qg1ejQfxzn3N13ZMBYiYzQbQDd33wmdoHSkAJrGdjOs6OLT-m/mainda.jpg?width=650)
AMANDA AMWAGIWA MATUSI FACEBOOK
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Matusi, vijembe, vyatawala Bunge
11 years ago
Mwananchi25 Apr
Siku 67 za mipasho, matusi bungeni
10 years ago
Vijimambo28 Sep
Sitta apokea meseji za matusi
![](http://www.gumzolajiji.com/wp-content/uploads/2014/09/sitta.jpg)