Kisa Lowassa, Wolper Aoga Matusi
MTOTO mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.
Isabela aliamua kumtusi staa huyo akidai anamshanga kujinadi kila siku katika mtandao wa Instagram kuwa ni mfuasi wa Lowassa wakati amelelewa na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kupitia mtandao huo wa Istagram, Isabela aliamua kumtolea uvivu Wolper hadharani...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkacI4i7Wy9sZmmDP7dKmdbcgIdepruXM9bLCGmrxHJKnjtv9AxbderDwZhEKWRYRKoUVHg-7RTd2I9dYfGB69aIq/Wolper.gif?width=650)
KISA LOWASSA AOGA MATUSI
11 years ago
GPLNISHA AMWAGIWA MATUSI YA NGUONI KISA, MWANAUME
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Sv1Krh-SbuQ/VWy2hteF5XI/AAAAAAAAu74/tHpiBQZq1hg/s72-c/reginald-mengi_416x416.jpg)
MENGI Atukanwa kisa kurusha vipindi vya LOWASA..Anaka anaye mtumia SMS Za matusi
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sv1Krh-SbuQ/VWy2hteF5XI/AAAAAAAAu74/tHpiBQZq1hg/s400/reginald-mengi_416x416.jpg)
Baada ya ITV kurusha matangazo ya moja kwa moja siku ndugu Lowassa alipotangaza nia, Mzee Mengi amelalamika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa wapo watu walimtukana sana, haswa mtu mmoja ambaye namba yake kaiweka hadharani.Kwanini Mengi atukanwe? Mbona ni vituo vingi vilikuwa Live? Mbona hata watangaza nia kama Wassira na Mwigulu ITV walirusha Live?
![](http://3.bp.blogspot.com/-kg8kmwzTBE8/VWy2-xmG7EI/AAAAAAAAu8A/8Crs4XwLdDk/s640/mengi.png)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YlFyYBCI1h4RNgMV2paYPp8IEZnI8YGPuAECr3Ia*2xSAxbLoWwZZQxVsNvyaz8FKLFYHXekCC8WfpyB4hBYgqt/jacklinewolper1.jpg?width=650)
WOLPER ACHARUKA KISA MIMBA
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Kisa Siasa, Wolper Aweka Pembeni Uigizaji
UPO? Habari ikufikie kuwa ‘mtoto mtamu’ anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo, Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda wa kupumzika na kujikita zaidi kwenye mambo ya siasa.
Rafiki wa karibu na Wolper aliyeomba hifadhi ya jina lake mwanzoni mwa wiki hii, aliliambia gazeti hili kuwa Wolper kwa sasa amekolea sana kwenye mambo ya siasa na kuona kama amekuwa akipoteza muda mwingi kwenye mambo ya uigizaji.
Baada ya...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hA00SIFl6AUtcBclmCEs1u4fK3EmyeoVIHfIVjxKz98VGgJA2k0oaks3lKUrLBiT7AY85mGWVVHlEemGSpOn4l2yAM2kmc33/W2.png?width=650)
KISA SIASA, WOLPER AWEKA PEMBENI UIGIZAJI
10 years ago
Bongo Movies19 Apr
Wema, Wolper Walewa Chakari!,Kisa Msongo wa Mawazo
Mastaa warembo kutoka Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu na Jacqueline Wolper Massawe, wamejikuta wakipiga ulabu hadi kulewa chakari, kisa kikielezwa kwamba wana msongo wa mawazo.
Gazeti la Risasi la jana, limeripoti kuwa tukio hilo lilijiri hivi karibuni, usiku mnene kwenye pati ya kuzaliwa (birthday) ya meneja wa kampuni ya Wema ya Endless Fame almaarufu Petit Man iliyofanyika kwenye nyumba ya jamaa mmoja maeneo ya Kinondoni-Manyanya jijini Dar na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
Katika pati...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dX7FfWdInUzEjbJeKCXXUIYiavkZoyn-xFp0V9Fon1sDxq2lLfqEnJd0Lj6U16HQ8yK-zNG-Jza5m4XyWkJgeoM/GLOBALTV23.jpg)
MAPENZI YA WOLPER KWA LOWASSA USIPIME!