MENGI Atukanwa kisa kurusha vipindi vya LOWASA..Anaka anaye mtumia SMS Za matusi

Baada ya ITV kurusha matangazo ya moja kwa moja siku ndugu Lowassa alipotangaza nia, Mzee Mengi amelalamika kupitia ukurasa wake wa twitter kuwa wapo watu walimtukana sana, haswa mtu mmoja ambaye namba yake kaiweka hadharani.Kwanini Mengi atukanwe? Mbona ni vituo vingi vilikuwa Live? Mbona hata watangaza nia kama Wassira na Mwigulu ITV walirusha Live?
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KISA LOWASSA AOGA MATUSI
10 years ago
Bongo Movies24 Aug
Kisa Lowassa, Wolper Aoga Matusi
MTOTO mzuri Bongo Movies, Jacqueline Wolper, amejikuta akiambulia matusi mazito kutoka kwa staa mwenzake Isabela Mpanda kisa kikiwa ni kuonesha mapenzi yake kwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa.
Isabela aliamua kumtusi staa huyo akidai anamshanga kujinadi kila siku katika mtandao wa Instagram kuwa ni mfuasi wa Lowassa wakati amelelewa na Chama cha Mapinduzi (CCM).
Kupitia mtandao huo wa Istagram, Isabela aliamua kumtolea uvivu Wolper hadharani...
11 years ago
GPLNISHA AMWAGIWA MATUSI YA NGUONI KISA, MWANAUME
10 years ago
Vijimambo
ITV washushiwa Rungu na TCRA,Kisa Kusema Uongo Kwenye Maandano ya lowasa Juzi

11 years ago
Michuzi17 Aug
MKURUGENZI REDIO 5 AVITAKA VYOMBO VYA HABARI KUANDIKA NA KUANDAA VIPINDI VYA KILIMO


5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Virusi vya corona: Kuvuta maji ya choo 'kunaweza kurusha virusi vya maambukizi futi 3 hewani'
10 years ago
BBCSwahili29 Dec
11 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI: Vipindi vya michezo vitumike ipasavyo
11 years ago
GPL