AMANDA AMWAGIWA MATUSI FACEBOOK
![](http://api.ning.com:80/files/omkt7cwbhXJYZu2ig8hS3V1Rbl6f*CP4HtP0A68aTjJYVe6Qg1ejQfxzn3N13ZMBYiYzQbQDd33wmdoHSkAJrGdjOs6OLT-m/mainda.jpg?width=650)
Stori:Gladness Mallya MWANADADA anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa matusi na mdada wa mjini aliyejulikana kwa jina la Jesca kisa kikidaiwa ni baada ya kutangaza kuwa, yeye na mume wake wa zamani, Hamis Bwela bado ni damudamu. Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Akizungumza hivi karibuni na Ijumaa, Amanda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLNISHA AMWAGIWA MATUSI YA NGUONI KISA, MWANAUME
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
Mh. Pindi Chana azindua kampeni ya Mpe riziki si matusi yenye lengo la kuondoa lugha chafu na matusi kwa wanawake wa sokoni
![](http://4.bp.blogspot.com/-t2lSUMCcByc/VPJJRQuXM8I/AAAAAAAHGq4/-Pd6cap5n6U/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2rPPy745xUw/VPJJRZYuk7I/AAAAAAAHGq8/ZVCD-U9qGG8/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
10 years ago
Bongo519 Nov
Facebook kuja na mtandao mpya ‘Facebook at Work’
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Sheikh amwagiwa tindikali
IMAMU wa Msikiti wa Sawiyatu Qadiria, Hassan Bashir (33) amejeruhiwa vibaya usoni na sehemu ya bega la kushoto baada ya kumwagiwa kimiminika kinachodhaniwa kuwa ni tindikali. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Sheikh amwagiwa tindikali Arusha
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAbI6LLVl1tcfLxXL3lpa612ruj3el0tKyrKRZnmS19cj8o2QVpIkccnWdRROzZ69XO7NPAzWhLEZvxRp9PRSv4j/sheta.jpg)
SHETTA AMWAGIWA UJI WA MOTO
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Sheikh amwagiwa tindikali Songea
11 years ago
Uhuru Newspaper03 Jul
Mbunge wa Ludewa amwagiwa sifa
NA SHEILA SIMBA, LUDEWA
KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru, Rachel Kassanda, amempongeza Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe, kwa jitihada za maendeleo zinazofanyika katika jimbo hilo.
Wakati Filikunjombe akipongezwa, kiongozi huyo alimshambulia Diwani wa Kata la Mlangali, Faraja Mlelwa (CHADEMA) kwa kushindwa kushiriki mbio za mwenge katika kata yake.
“Miradi saba yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni tatu katika jimbo la Ludewa ambayo mwenge unaipitia ni mikubwa. Ni wazi Filikunjombe...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Kada wa CCM amwagiwa Tindikali Tarime