CCM: Tutakuwa makini uteuzi wabunge
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishi, utazingatia yale yaliyofanyika katika uteuzi wa mgombea wao wa urais, na kusisitiza kuwa kuongoza kura za maoni sio mwisho wa safari, bali kigezo cha kuelekea katika uteuzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi11 Jan
Uteuzi wabunge wa Katiba mfupa mgumu kwa JK
10 years ago
Mtanzania10 Aug
Joto la uteuzi wabunge laanza kupanda Dodoma
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
JOTO la uteuzi wa mwisho la kupata wagombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limezidi kupanda, huku chama hicho kikitangaza uamuzi mgumu kwa wagombea waliocheza rafu na hata kupindua matokeo.
Mbali na hayo, viongozi wa ngazi ya wilaya na mikoa wanaodaiwa kuwabeba kinyume na utaratibu nao wapo hatarini kuvuliwa nyadhifa zao.
Taarifa kutoka ndani ya CCM zililiambia MTANZANIA jana kuwa kikao cha Sekretarieti kilichokutana mjini hapa, kilijadili baadhi ya...
9 years ago
Mwananchi08 Nov
Chadema Mbeya walalamikia uteuzi wabunge viti maalumu
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s72-c/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI BUNGE LIKIELEKEA MWISHONI...SPIKA AWATAKA WABUNGE KUWA MAKINI KWANI MAKOMBORA NI MENGI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s400/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI Bunge likielekea ukingoni na wabunge kurudi tena kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020, Spika wa Bunge Job Ndugai amewashauuri wabunge hao kuwa makini kwani makombora ni mengi kipindi hiki.
Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma Spika Ndugai amewaambia wabunge kuwa hiki ni kipindi ambacho wanatakiwa kuwa makini wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu makombora jimboni yanakuwa mengi, hivyo wachukue tahadhari.
Ushauri huo wa Spika Ndugai kwa wabunge umekuja baada...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_69WFUiNhVk/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Uteuzi wa Kikwete waikoroga CCM
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Pinda aionya CCM uteuzi wa wagombea
10 years ago
StarTV17 Oct
CCM yatefanya uteuzi wa makatibu wa Wilaya 27.
Na Blaya Moses, Dodoma.
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi ccm imeendelea na kikao chake mjini dodoma kwa kuwateua makatibu wa wilaya ishirinini na saba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wengine kufariki dunia na kumaliza muda wao wa utumishi ndani ya chama
Aidha kikao hicho pia kimejadili namna chama hicho kitakavyojipanga ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi katika uchaguzi wa seriakli za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Jaji Ramadhani afunguka uteuzi wa urais CCM