Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKATI BUNGE LIKIELEKEA MWISHONI...SPIKA AWATAKA WABUNGE KUWA MAKINI KWANI MAKOMBORA NI MENGI

Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKATI Bunge likielekea ukingoni na wabunge kurudi tena kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020, Spika wa Bunge Job Ndugai amewashauuri wabunge hao kuwa makini kwani makombora ni mengi kipindi hiki.
Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma Spika Ndugai amewaambia wabunge kuwa hiki ni kipindi ambacho wanatakiwa kuwa makini wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu makombora jimboni yanakuwa mengi, hivyo wachukue tahadhari.
Ushauri huo wa Spika Ndugai kwa wabunge umekuja baada...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hiddink awataka wachezaji kuwa makini.

Meneja mpya wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink, amekitaka Kikosi chake kuwa makini na kuzingatia uwepo wao katika Timu hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI

*Pia aagiza warudi bungeni haraka wakiwa na vipimo vyao vya majibu ya Corona
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

WABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO

Mwenyekiti wa Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wa Tanzania, Adam Kimbisa, akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka Spika wa Bunge hilo. Kulia ni mbunge wa bunge hilo, Twaha Taslima na Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji. Katibu wa Wabunge wa EALA, Shy-Rose  Bhanji akifafanua jambo wakati wa mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, kuhusu sakata la kutaka kumvua madaraka...

 

10 years ago

Bongo5

Professor J amsikitikia Cheka, awataka maceleb kuwa makini

Msanii mkongwe wa Hip Hop, Joseph Haule aka Professor J, amesema yeye ni mmoja wa watu waliosikitishwa na hukumu ya miaka 3 jela aliyopata bondia Francis Cheka baada ya kupatikana na hatia za kumshambulia meneja wake. Professor ameiambia Bongo5 kuwa mastaa wanatakiwa kuwa makini kwenye jamii kwa kuwa mara nyingi wakikosa wanahukumiwa kama mfano ili […]

 

11 years ago

Michuzi

jeshi la polisi latahadharisha wananchi kuwa makini wakati wa sikukuu ya pasaka

SSP ADVERA SENSO Tunapoelekea kipindi hiki cha sikukuu ya Pasaka, Jeshi la Polisi nchini, linatoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala la usalama wa maisha na mali zao.  Uzoefu unaonyesha kwamba, katika kipindi kama hiki cha sikukuu kuna baadhi ya watu hupenda kutumia fursa hiyo kufanya vitendo vya uhalifu. Hata hivyo, Jeshi la Polisi katika mikoa yote limejipanga vizuri kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama kuhakikisha kwamba hakuna vitendo vyovyote vya...

 

11 years ago

Mwananchi

awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele

Tanzania imejaaliwa kuwa na vipaji vya wanamuziki wengi wa miondoko ya kila aina na baadhi yao wakifanya kazi zaidi ya moja katika fani hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa

Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake  mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama  cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo  kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.

Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.

Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge  Dk...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia  sehemu ya wakazi wa Nungwi na Wafuasi wa CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Skuli,jimbo la Nungwi,wilaya ya Kaskazini A,mkoa wa Kaskazini Unguja.Kinana amewataka Wananchi hao kuwa makini na baadhi ya viongozi wenye tamaa ya madaraka kwa kuahidiwa mambo ambayo hayatekelezeki,pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi siku ikifika ya kupiga kura ya ndiyo kwa katiba inayopendekezwa,kwani imejaa mambo mengi na...

 

11 years ago

Michuzi

SPIKA MAKINDA AFUNGUA GYM YA MAZOEZI YA BUNGE KWA AJILI YA WABUNGE

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa Gym ya Mazoezi katika Viwanja vya Bunge. Gym hiyo itatumiwa na Wabunge , Wafanyakazi pamoja na Wananchi wa Nje watakaopenda kufanya mazoezi kwa lengo la kuboresha afya zao za Miili yao. Pembeni ni Mkurugenzi wa Gym hiyo Ndg. Omar Ige. Muonekano wa Jengo litakalo na GYM ya Bunge kwa nje katika viawanja vya Bunge. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiangalia baadhi ya wananchi waliofika kufanya mazoezi katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani