WAKATI BUNGE LIKIELEKEA MWISHONI...SPIKA AWATAKA WABUNGE KUWA MAKINI KWANI MAKOMBORA NI MENGI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s72-c/watoro%252Bpic.jpg)
Said Mwishehe, Michuzi TV
WAKATI Bunge likielekea ukingoni na wabunge kurudi tena kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020, Spika wa Bunge Job Ndugai amewashauuri wabunge hao kuwa makini kwani makombora ni mengi kipindi hiki.
Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma Spika Ndugai amewaambia wabunge kuwa hiki ni kipindi ambacho wanatakiwa kuwa makini wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu makombora jimboni yanakuwa mengi, hivyo wachukue tahadhari.
Ushauri huo wa Spika Ndugai kwa wabunge umekuja baada...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Hiddink awataka wachezaji kuwa makini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s72-c/spika1.jpg)
SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s400/spika1.jpg)
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...
11 years ago
MichuziWABUNGE WA TANZANIA WANAOWAKILISHA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) NA SAKATA LA KUTAKA KUMVUA MADARAKA SPIKA WA BUNGE HILO
10 years ago
Bongo503 Feb
Professor J amsikitikia Cheka, awataka maceleb kuwa makini
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rsNoPYZB0HI/U0_bGCO8vuI/AAAAAAAFbgs/vxVADaDySIU/s72-c/download.jpg)
jeshi la polisi latahadharisha wananchi kuwa makini wakati wa sikukuu ya pasaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-rsNoPYZB0HI/U0_bGCO8vuI/AAAAAAAFbgs/vxVADaDySIU/s1600/download.jpg)
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
9 years ago
StarTV18 Nov
Job Ndugai achaguliwa kuwa spika, wabunge waapishwa
Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeanza vikao vyake mjini Dodoma kwa kumchagua Job Ndugai wa Chama cha Mapinduzi CCM kuwa spika wa bunge hilo kati ya wagombea wenzake nane kutoka vyama vya upinzani waliojitokeza kuwania nafasi hiyo.
Ndugai amepata kura 254 akifuatiwa na Dokta Ole Medeye wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA aliyepata kura 109 na wagombea wengine wakikosa kura yoyote.
Bunge la 11 limeanza vikao vyakao vyake majira ya 3 asubuhi kwa katibu wa bunge Dk...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
11 years ago
MichuziSPIKA MAKINDA AFUNGUA GYM YA MAZOEZI YA BUNGE KWA AJILI YA WABUNGE
![](http://2.bp.blogspot.com/-KI6bE5s0sWA/U5I0YW7mrGI/AAAAAAAFoKQ/EBwiscdkhlE/s1600/B.jpg)