Hiddink awataka wachezaji kuwa makini.
Meneja mpya wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink, amekitaka Kikosi chake kuwa makini na kuzingatia uwepo wao katika Timu hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo503 Feb
Professor J amsikitikia Cheka, awataka maceleb kuwa makini
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s72-c/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI BUNGE LIKIELEKEA MWISHONI...SPIKA AWATAKA WABUNGE KUWA MAKINI KWANI MAKOMBORA NI MENGI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s400/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI Bunge likielekea ukingoni na wabunge kurudi tena kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020, Spika wa Bunge Job Ndugai amewashauuri wabunge hao kuwa makini kwani makombora ni mengi kipindi hiki.
Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma Spika Ndugai amewaambia wabunge kuwa hiki ni kipindi ambacho wanatakiwa kuwa makini wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu makombora jimboni yanakuwa mengi, hivyo wachukue tahadhari.
Ushauri huo wa Spika Ndugai kwa wabunge umekuja baada...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Bongo521 Dec
Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea
![151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit-300x194.jpg)
Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.
Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.
“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...
9 years ago
Dewji Blog20 Dec
Hatimaye Chelsea yamtangaza Guus Hiddink kuwa meneja mpya wa timu hiyo
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ikiwa zimepita siku tatu tangu uongozi wa klabu ya Chelsea kumtimua kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Mreno Jose Mourinho hatimaye taarifa zimetoka ndani ya timu hiyo kuwa, Mholanzi Guus Hiddink (pichani) amekuwa meneja mpya wa klabu hiyo ya Uingereza.
Katika taarifa iliyotolewa na ukurasa wa klabu hiyo wa Twitter umeeleza kuwa Hiddink atakuwa meneja wa Chelsea mpaka mwisho wa msimu huu wa 2015/2016.
Hiddink hii siyo mara yake ya kwanza kuifundisha timu hiyo ya...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
Wachezaji wawe makini katika ujisajili
MFANYAKAZI mwenye ujuzi au taaluma fulani, hujiunga na kampuni, shirika au taasisi anayoamini atadhihirisha kipaji chake kwa kuleta mabadiliko na ufanisi zaidi. Zama hizi, wacheza kandanda mahiri hugombewa na timu...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Hiddink akitaka kikosi chake kuwa na hamu kushinda mchezo wa Man United, leo usiku
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa muda wa Chelsea, Guus Hiddink (pichani) amesema anatamani kuiona timu yake ikiwa na hamu ya ushindi dhidi ya wapinzani wao Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wingereza unaotarajiwa kuchezwa leo jumatatu katika uwanja wa Old Trafford.
Mholanzi huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho amesema mchezo unaozikutanisha timu hizo huwa ni mkubwa lakini mchezo wa leo utakuwa mkubwa zaidi hivyo angependa kuona kikosi chake kikiingia katika mchezo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s72-c/OSIEA+1B.jpg)
JAJI AUGUSTINEO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s1600/OSIEA+1B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CnWQv3mlew/Uz6dEq8GZSI/AAAAAAAA4WU/wvXNjY9W3UI/s1600/OSIEA+2.jpg)