Wachezaji wawe makini katika ujisajili
MFANYAKAZI mwenye ujuzi au taaluma fulani, hujiunga na kampuni, shirika au taasisi anayoamini atadhihirisha kipaji chake kwa kuleta mabadiliko na ufanisi zaidi. Zama hizi, wacheza kandanda mahiri hugombewa na timu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Hiddink awataka wachezaji kuwa makini.
Meneja mpya wa klabu ya Chelsea Guus Hiddink, amekitaka Kikosi chake kuwa makini na kuzingatia uwepo wao katika Timu hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Vijana wawe na uthubutu katika maisha
TUNAISHI katika ulimwengu uliojaa changamoto katika kila nyanja ya maisha. Iwe kijamii, kiuchumi na kisiasa. Changamoto za maisha zinaweza kugeuka na kuwa kikwazo cha mafanikio ya kijana pale anapoziogopa badala...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/02/DSC_0851.jpg)
REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA
Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma. Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vAPnCShAO14S0MAcMWSS7C0l4Ar8Hr8B9-OG3C4JBWINrlkBHXDPt0ilWwQ9P5ZD1YBrohP2aP9*ybrowAJ-9*-/Loves.jpg)
KUWA MAKINI KATIKA KUWASHAURI WAPENZI
NAKUKARIBISHA katika Jumanne tuliyoiona kwa kudra za Mwenyezi Mungu kwa kutupa pumzi na uhai wake bure.Leo tutazungumzia kuhusu suala zima la kuwa makini katika kuwashauri wapenzi waliofarakana. Kama unataka kuwashauri watu walio na malumbano katika uhusiano wa mapenzi basi kwanza washauri kwa kuutenga ukweli na uongo bila kuegemea upande mmoja. Pili kuwa makini kuuponda upande mmoja ambao haupo karibu yako wakati ukimshauri...
10 years ago
GPLJOH MAKINI: TUKUBALI KUKOSELEWA KATIKA MUZIKI
Ofisa wa sanaa kutoka Balaza la sanaa (BASATA)Augustino Kihiyo(kushoto) John Saimon 'Joh Makin'(katikati) pamoja na G-Nako. Baadhi ya wasanii na wanafunzi wa Chuo Cha Habari cha DSJ wakifuatilia mkutano huo.…
11 years ago
BBCSwahili28 May
Wachezaji 2 wa Ujerumani katika ajali
Wachezaji 2 wa klabu ya shalke 04 wamehusika katika ajali ya barabarani wakiwa Italia
9 years ago
GPLWATANZANIA MUWE MAKINI KATIKA KUMPATA RAIS AJAYE
 Rais Dk. Ali Mohamed Shein. KWANZA tumsifu Mungu kwa kuendelea kuwapa moyo wa amani Watanzania, hili ni jambo muhimu kuliko kitu chochote hapa nchini. Nianze kwa kusema kwamba kwa namna ambavyo vyama vya siasa vinaendesha mambo yao na demokrasia iliyomo ndani ya vyama hivyo ndivyo ambavyo vitaendesha nchi ikiwa mgombea urais atachaguliwa na wananchi kuongoza nchi. Tusisahau pia kwamba madaraka hulevya; na hata kiongozi mzuri...
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Laiti kanisa lingepeleka wajumbe makini katika Bunge la Katiba...
Ni kweli kanisa haliwezi kujiingiza moja kwa moja katika mambo ya kisiasa, ingawa linapashwa kushiriki kikamilifu ili kutoa mchango wake katika kustawisha jamii.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania