Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUWA MAKINI KATIKA KUWASHAURI WAPENZI

NAKUKARIBISHA katika Jumanne tuliyoiona kwa kudra za Mwenyezi Mungu kwa kutupa pumzi na uhai wake bure.Leo tutazungumzia kuhusu suala zima la kuwa makini katika kuwashauri wapenzi waliofarakana. Kama unataka kuwashauri watu walio na malumbano katika uhusiano wa mapenzi basi kwanza washauri kwa kuutenga ukweli na uongo bila kuegemea upande mmoja. Pili kuwa makini kuuponda upande mmoja ambao haupo karibu yako wakati ukimshauri...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

REDIO ZA JAMII NCHINI ZIMETAKIWA KUWA MAKINI NA UANDAAJI WA VIPINDI PAMOJA NA HABARI, KATIKA KUEPUSHA UIBUAJI WA MIGOGORO KATIKA JAMII ZINAZOWAZUNGUKA‏

Mwezeshaji wa warsha hiyo ambaye pia ni Mkufunzi wa Redio za Jamii kutoka Unesco, Mama Rose Haji Mwalimu, akitoa utambulisho kwa waendesha warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kutoka Shirika la Search for Common Grounds (SFCG), yanayoendelea mjini Dodoma. Meneja Mradi wa SFCG wilaya ya Tarime, Bwana Jacob Mulikuza, akielezea maudhui ya warsha ya namna ya kuandika habari za migogoro kwa washiriki ambao ni waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

SOMO LA BURE LA LEO: KUWA MAKINI KATIKA KUTOA TAARIFA BINAFSI MITANDAONI

Na ticha Yusuph Kileo. Katika Muendelezo wa Kuelimisha Jamii jinsi ya kubaki salama mitandaoni, leo najikita katika maswala ya USIRI  (PRIVACY)  ambapo taarifa nyingi za mtu binafsi si vyema kuwekwa mitandaoni na pia maelezo mafupi ya namna wahalifu mtandao wanatumia taarifa hizo za siri mitandaoni kuleta madhara.  Njia za awali ambazo wahalifu mtandao wanatumia kabla ya kusababisha madhara ni kukusanya taarifa za mhusika ambaye wanategemea kumdhuru kwa njia inayojulikana kitaalam kama...

 

9 years ago

StarTV

  Wataalam wa ardhi watakiwa kuwa makini katika upimaji ili Kuepuka Migogoro

 

Wataalam wa ardhi katika Halmashauri ya Busokelo mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wakati wa utekelezaji wa kazi ya upimaji wa viwanja vya makazi na mji wa halmashauri hiyo ili kuepuka migogoro ya ardhi isiyo ya lazima na wananchi.

Tahadhari hiyo imetolewa na Kamishna wa Ardhi kanda ya kaskazini Suma Tumpale kutokana nia taarifa ya wataalamu wa Ardhi wa Halmashauri hiyo kueleza kuwepo kwa mgomo wa baadhi ya wananchi wanaopinga uendeshwaji wa zoezi hilo katika maeneo yao.

 Halmashauri ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyota wa 'Empire' wadaiwa kuwa wapenzi

Nyota wawili wa filamu ya 'Empire' Adre Lyon na Anika Calhoun wamedaiwa kuwa wapenzi katika maisha yao ya kawaida

 

11 years ago

Bongo5

Lil Wayne na Christina Milian wadaiwa kuwa wapenzi!!

Lil Wayne ana watoto wanne ambao kila mmoja ana mama yake na sasa huenda akaongeza orodha ya ‘mababy mama’ iwapo uhusiano wake na Christian Milian ukiwa kweli. Mwezi mmoja baada ya kuachana na mpenzi wake Jas Prince, Christina Milian anadaiwa kuanzisha uhusiano na bosi wake wa Young Money Lil Wayne. Wawili hao walipigwa picha wakitembea […]

 

10 years ago

Vijimambo

LEO NDO’ UNAJUA KUWA HAKUFAI, ANA WAPENZI WENGI?-2

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia makala haya niliyoanza wiki iliyopita ili niweze kuanza mada nyingine.
Ninachokizungumzia kwenye makala haya ni ile tabia ya baadhi ya watu kuwatangazia wapenzi wao wa zamani mambo mabaya ili kuwachafulia katika mahusiano yao yajayo.

Wanaofanya hivyo wapo wengi sana huko mtaani. Unaweza kukuta wameishi kwa miaka mingi wakitamkiana kila aina ya maneno matamu ya kimahaba, kuitana majina mazuri lakini walipokuja kuachana mpenzi amegeuka kuwa fala. Hii...

 

10 years ago

GPL

LEO NDO’ UNAJUA KUWA HAKUFAI, ANA WAPENZI WENGI?

Kwenye suala la uhusiano, yapo mengi ya kuvumiliana. Unaowaona leo wako kwenye penzi lenye furaha wamevumiliana kwa mengi. Lakini pia wapo ambao mpaka leo hii unavyowaona, wameachwa na kuacha sana. Hilo linatufanya tuamini kwamba kuachana ni jambo la kawaida. Siyo ajabu wewe kuachana na huyo uliyenaye kwa kuwa utakuwa si wa kwanza kuacha wala kuachwa. Wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo watu ni wa ajabu sana na naweza kuwaita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani