Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LEO NDO’ UNAJUA KUWA HAKUFAI, ANA WAPENZI WENGI?

Kwenye suala la uhusiano, yapo mengi ya kuvumiliana. Unaowaona leo wako kwenye penzi lenye furaha wamevumiliana kwa mengi. Lakini pia wapo ambao mpaka leo hii unavyowaona, wameachwa na kuacha sana. Hilo linatufanya tuamini kwamba kuachana ni jambo la kawaida. Siyo ajabu wewe kuachana na huyo uliyenaye kwa kuwa utakuwa si wa kwanza kuacha wala kuachwa. Wakati ukweli ukiwa hivyo, wapo watu ni wa ajabu sana na naweza kuwaita...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

LEO NDO’ UNAJUA KUWA HAKUFAI, ANA WAPENZI WENGI?-2

Mpenzi msomaji wangu, wiki hii nitaimalizia makala haya niliyoanza wiki iliyopita ili niweze kuanza mada nyingine.
Ninachokizungumzia kwenye makala haya ni ile tabia ya baadhi ya watu kuwatangazia wapenzi wao wa zamani mambo mabaya ili kuwachafulia katika mahusiano yao yajayo.

Wanaofanya hivyo wapo wengi sana huko mtaani. Unaweza kukuta wameishi kwa miaka mingi wakitamkiana kila aina ya maneno matamu ya kimahaba, kuitana majina mazuri lakini walipokuja kuachana mpenzi amegeuka kuwa fala. Hii...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO


The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi

mabomba ya gesi

Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.

Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...

 

11 years ago

Bongo5

Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9

Power couple ya Tanzania, Diamond Platnumz na Wema Sepetu ndio inayoongoza kwa kuwa na followers wengi zaidi kwenye mtandao wa Instagram. Hii ni orodha kamili (July 31,2014) 1.Diamond Platnumz 183,205 2.Wema Sepetu 168,954 3.Elizabeth ‘Lulu’ Michael 129,047 4.Jokate Mwegelo 102,168 5.Millard Ayo 102,068 6.Jacqueline Wolper 99,545 7. Ommy Dimpoz 95,415 8.Aunty Ezekiel 94,379 9.Kajala 88,769 […]

 

10 years ago

Vijimambo

DIAMOND UHURU PARTY WASHINGTON DC -KUTOKANA NA MAOMBI YA WENGI "TUMEFANIKIWA KUONGEZA NAFASI "20 TU" TAFADHALI ZIKIISHA HIZI NDO BASI !

HOTEL WAMEKUBALI KUONGEZA NAFASI 20 TU,KAMA UNAHITAJI TAFADHALI PIGA SIMU HARAKA ZIKIISHA HIZI BASI MAANA CHUMBA NDO KITAKUWA KIMEJAA
                PIGA SIMU  # 301-661-6207     # 240-605-1870

 

5 years ago

BBCSwahili

Amanda McCracken: Mwanamke aliyekuwa na wapenzi wengi lakini akasalia bikra hadi umri wa miaka 41

Mwaka 2013, mwandishi wa Marekani Amanda McCracken alichapisha taarifa katika gazeti la New York times ambayo ilisambaa. Ilikuwa na jina la Je ubikra wangu unaweza kuishi?.

 

10 years ago

Mwananchi

Je unajua jinsi unavyoweza kuwa kiongozi bora

Kufuatia uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni kuna baadhi ya wasomaji wameniomba niandike kuhusu uongozi. Hata hivyo, nilipoamua kuandika kuhusu mada hii nikawa na hofu kuwa itasomwa na watu wachache sana yaani viongozi tu.

 

11 years ago

Mwananchi

Usijidanganye kuamini kuwa unajua kila kitu

Wakati fulani nilikuwa kwenye semina moja ya ndoa, Arusha. Katika mchakato wa semina hiyo, nilikutana na wanandoa na mmoja alipenda tukutane, lakini mwingine hakuona ulazima wa kufanya hivyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nyota wa 'Empire' wadaiwa kuwa wapenzi

Nyota wawili wa filamu ya 'Empire' Adre Lyon na Anika Calhoun wamedaiwa kuwa wapenzi katika maisha yao ya kawaida

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani