JAJI AUGUSTINEO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s72-c/OSIEA+1B.jpg)
Makamu mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani akiongea jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee, Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The Open Society Initiative For Eastern African Tanzania (OSIEA). Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Mjadala huo, Profesa Chris Maina, pamoja na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dkt. Ayoub Rioba.
Kamishana wa zamani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s1600/OSIEA+1B.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Jaji Ramadhani awapa somo wajumbe wa katiba
ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Augustino Ramadhani, amewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kujadili vipengele vya rasimu kwa kuviboresha badala ya kulumbana. Jaji...
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Kwa nini haikuwa Jaji Ramadhani?
KUNA swali linahitaji kujibiwa na ninaamini linastahili kujibiwa.
Lula wa Ndali Mwananzela
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9EF_atkQ6TA/XqwL342g0UI/AAAAAAALoxI/B63wNYhmsr0WN6YZoYYPlCwYW3SXw26MACLcBGAsYHQ/s72-c/EFdJ0H-UEAA9KVy.jpg)
ULALE PEMA BALOZI MAHIGA, UPUMZIKE KWA AMANI JAJI AGUSTINO RAMADHANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9EF_atkQ6TA/XqwL342g0UI/AAAAAAALoxI/B63wNYhmsr0WN6YZoYYPlCwYW3SXw26MACLcBGAsYHQ/s640/EFdJ0H-UEAA9KVy.jpg)
NIMEZIMA Televisheni. Sitaki kuangalia tena, nimejikuta nachukia kwanini niliwasha data asubuhi na kukutana na taarifa zilizouumiza moyo wangu.
Kama Taifa tumeumaliza mwezi Aprili vibaya sana. Tumeuanza mwezi Mei kwa uchungu na vilio. Ni nini hiki tunapitia? Ndio zile nyakati za Dhiki kuu zilizoandikiwa na akina Ellen G White?. Maumivu hakika.
Tazama. Leo asubuhi Rais Dk John Magufuli ametangaza kifo cha Mwamba wa Diplomasia, Kachero wa Kimataifa na Balozi wetu wa...
11 years ago
Mwananchi22 Mar
Jaji Warioba asilaumiwe kwa Rasimu ya Katiba
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s72-c/ere.jpg)
Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani ajitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s640/ere.jpg)
10 years ago
MichuziDKT. BILAL AMFARIJI JAJI MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MSAZI