Professor J amsikitikia Cheka, awataka maceleb kuwa makini
Msanii mkongwe wa Hip Hop, Joseph Haule aka Professor J, amesema yeye ni mmoja wa watu waliosikitishwa na hukumu ya miaka 3 jela aliyopata bondia Francis Cheka baada ya kupatikana na hatia za kumshambulia meneja wake. Professor ameiambia Bongo5 kuwa mastaa wanatakiwa kuwa makini kwenye jamii kwa kuwa mara nyingi wakikosa wanahukumiwa kama mfano ili […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili24 Dec
Hiddink awataka wachezaji kuwa makini.
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s72-c/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI BUNGE LIKIELEKEA MWISHONI...SPIKA AWATAKA WABUNGE KUWA MAKINI KWANI MAKOMBORA NI MENGI
![](https://1.bp.blogspot.com/-aHi4WkOlMKk/XodgeMv92pI/AAAAAAALl-A/rNOuYEtZkEIgdDh0JXslXecqWUhvW7ywwCLcBGAsYHQ/s400/watoro%252Bpic.jpg)
WAKATI Bunge likielekea ukingoni na wabunge kurudi tena kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020, Spika wa Bunge Job Ndugai amewashauuri wabunge hao kuwa makini kwani makombora ni mengi kipindi hiki.
Akizungumza leo Bungeni Mjini Dodoma Spika Ndugai amewaambia wabunge kuwa hiki ni kipindi ambacho wanatakiwa kuwa makini wakati huu wa kuelekea kwenye uchaguzi mkuu makombora jimboni yanakuwa mengi, hivyo wachukue tahadhari.
Ushauri huo wa Spika Ndugai kwa wabunge umekuja baada...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s72-c/OSIEA+1B.jpg)
JAJI AUGUSTINEO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s1600/OSIEA+1B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_CnWQv3mlew/Uz6dEq8GZSI/AAAAAAAA4WU/wvXNjY9W3UI/s1600/OSIEA+2.jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-DMpKmfWREik/Uz6dFZclmDI/AAAAAAAA4Wg/S6d-Z3ozK6M/s1600/OSIEA+1B.jpg)
JAJI AUGUSTINO RAMADHANI AWATAKA WAJUMBE KUJADILI RASIMU KWA MAKINI
11 years ago
Bongo512 Jul
Picha:Professor Jay aanza ku-shoot video ya ‘Kipi Sijasikia’ ,P-Funk kuwa hakimu
10 years ago
Bongo520 Oct
Video: Hermy B awataja Fid Q, Professor Jay na Mwana FA kuwa ndio waandishi bora Tanzania
10 years ago
Habarileo24 Feb
Wasomi watakiwa kuwa makini
VIJANA wasomi nchini wametakiwa kutokuwa chambo na kutumiwa na baadhi ya wanasiasa wenye uchu wa kutaka madaraka ya nchi bali wawaepuke hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.