Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hiddink akitaka kikosi chake kuwa na hamu kushinda mchezo wa Man United, leo usiku

2452

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa muda wa Chelsea, Guus Hiddink (pichani) amesema anatamani kuiona timu yake ikiwa na hamu ya ushindi dhidi ya wapinzani wao Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wingereza unaotarajiwa kuchezwa leo jumatatu katika uwanja wa Old Trafford.

Mholanzi huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho amesema mchezo unaozikutanisha timu hizo huwa ni mkubwa lakini mchezo wa leo utakuwa mkubwa zaidi hivyo angependa kuona kikosi chake kikiingia katika mchezo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Hiddink: Chelsea waonyeshe hamu dhidi ya Man Utd

Kaimu meneja wa Chelsea Guus Hiddink amesema timu yake inafaa kuonyesha hamu ya kutaka kushinda dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford leo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal azungumzia nafasi ya Man United kushinda Uefa Champion League

louis-van-gaal-press-conference-1423235043

Louis Van Gaal.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Baada ya kutoa sare na timu ya West Ham United, Kocha wa Manchester United, Mdachi Louis Van Gaal amezungumzia nafasi ya timu yake kama inauwezo wa kutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Ulaya (UEFA Champion League).

Majibu ya kocha huyo yalitegemewa na watu wengi kutokana na mwenendo ulivyo kwa sasa kwa klabu hiyo kongwe ya nchini Wingereza ambayo imekuwa inapata matokeo ambayo hayawaridhishi mashabiki wa timu hiyo, Van Gaal amesema kikosi chake...

 

9 years ago

Dewji Blog

Van Gaal aanza kuhofia kibarua chake Man United

Wayne-Rooney

Wayne Rooney akibadilishana mawazo na Louis van Gaal wakati wa mazoezi ya kujifua.(Picha na Getty Images).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amesema anaanza kuingiwa na hofu ya kibarua chake baada ya sare ya bila kufungana dhidi ya PSV Eindhoven ya Uholanzi katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Van Gaal amesema imeingiwa na hofu hiyo kutokana na mashabiki wa timu hiyo kutaka kupata magoli mengi jambo ambalo limekuwa ngumu kwa wachezaji wao hali...

 

9 years ago

Michuzi

CCM YATANGAZA RASMI KIKOSI CHAKE CHA KAMPENI 2015 JIJINI DAR LEO

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo asubuhi,katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kuhusiana na uteuzi wa kamati ya Kampeni  kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015,ambayo itaongozwa  na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na  Wajumbe
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) taifa jana Agosti 17, 2015 katika kikao chake cha siku moja kilichofanyika ...

 

11 years ago

Michuzi

Maalim Seif afungua rasmi wa jengo la maalum la mchezo wa Judo, Gombani Chake Chake,Pemba

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na Balozi wa Japan nchini Tanzania Masaki Okada, wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo la Judo, Gombani Chake Chake Pemba. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Mhe. Said Ali Mbarouk wakati wa uzinduzi huo. Rais wa heshima wa mchezo wa judo Zanzibar Bw. Shima Oka, akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo hilo Gombani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ajikata uume akitaka kuwa mwanamke

Msanii Mrusi aliyecheza katika filamu mashuhuri ya 'Burnt by the Sun 2', alipoteza uume wake baada ya kujikata akitaka kuwa mwanamke.

 

9 years ago

Bongo5

Kocha wa Man United, Louis Van Gaal anaamini Chris Smalling anafaa kuwa nahodha

Kocha wa Manchester United, Louis Van Gaal amemtaja mlinzi wa kati wa timu yake, Chris Smalling kuwa baadaye anaweza kuja kuwa nahodha baada ya Rooney na Carrick kumaliza. Van Gaal ameyasema hayo huku zikiwa zimebakia siku kadhaa tu kuelekea mchezo wa ‘Manchester Derby’ kati ya Manchester United na Manchester City Jumapili hii. Hadi sasa Smalling […]

 

10 years ago

GPL

DI MARIA ATUA MAN UTD USIKU WA KUAMKIA LEO

 Di Maria (kushoto nyuma) katika gari akipelekwa uwanja wa mazoezi wa Manchester United uitwao Carrington usiku wa kuamkia leo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani