Hiddink: Chelsea waonyeshe hamu dhidi ya Man Utd
Kaimu meneja wa Chelsea Guus Hiddink amesema timu yake inafaa kuonyesha hamu ya kutaka kushinda dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Hiddink akitaka kikosi chake kuwa na hamu kushinda mchezo wa Man United, leo usiku
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Kocha wa muda wa Chelsea, Guus Hiddink (pichani) amesema anatamani kuiona timu yake ikiwa na hamu ya ushindi dhidi ya wapinzani wao Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wingereza unaotarajiwa kuchezwa leo jumatatu katika uwanja wa Old Trafford.
Mholanzi huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho amesema mchezo unaozikutanisha timu hizo huwa ni mkubwa lakini mchezo wa leo utakuwa mkubwa zaidi hivyo angependa kuona kikosi chake kikiingia katika mchezo...
5 years ago
BeSoccer EN18 Feb
Chelsea v Man Utd - as it happened
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
Man Utd,Chelsea kujibwaga uwanjani
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Man Utd, Chelsea hakuna mbabe
![The Serbia international reacts by putting his hand on his protective mask after seeing his effort sail over the woodwork at Old Trafford](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/19/2FA7F22200000578-3376615-image-a-12_1451331002558.jpg)
![Manchester United midfielder Ander Herrera came close to scoring from close range however Thibaut Courtois dived down to his left](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7E79700000578-3376615-image-a-18_1451328501410.jpg)
Mchezaji kiungo wa Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa wa Chelsea baada ya kukosa bao.
![Rooney failed to test Courtois earlier on in the game when it looked like the United captain was going to put his side in the lead](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/20/2FA8161700000578-3376615-image-m-56_1451333387689.jpg)
![Manchester United goalkeeper De Gea stretches out his hands to deny fellow countryman Cesar Azpilicueta during the 0-0 draw](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7DF6A00000578-3376615-image-a-11_1451328284592.jpg)
![De Gea also saved from fellow countryman Pedro before getting back on to his feet to keep out Azpilicueta](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/19/2FA7E75400000578-3376615-image-a-31_1451332315800.jpg)
![Manchester United captain Rooney and Kurt Zouma compete for the ball as they do battle during an aerial challenge](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/12/28/18/2FA7E51E00000578-3376615-image-a-9_1451328212862.jpg)
10 years ago
StarTV27 Oct
Man Utd, Chelsea hakuna mbabe, zatoka 1-1.
Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.
Haikuchukua muda mwingi punde tu baada ya kuanza kwa kipute hicho, mchezaji mkongwe Didier Drogba akawainua mashabiki wa Chelsea baad ya kufunga goli zuri la kichwa.
Goli hili liliweza kudumu hadi dakika za nyongeza za mchezo huo na kuwapa matumaini mashabiki wa timu hiyo kuamini kuwa wangekusanya point zote tatu kutoka kwa Man U.
Dakika ya 93 ya mchezo Mholanzi...
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Chelsea washinda, Man Utd walazwa nyumbani
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Chelsea, Man Utd kushuka dimbani EPL
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEDtMn6jIVoQ-x4k6vZ-mDdslj5MKgfcmqCy4tO6g1lXjE13voH9quPmBBLHxOB5Hj8eIXXtrTUUUG-77Sm14tR/man_vs._chelsea.png?width=650)
11 years ago
Mwananchi16 Dec
Arsenal, Man Utd, City, Chelsea presha juu