Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hiddink: Chelsea waonyeshe hamu dhidi ya Man Utd

Kaimu meneja wa Chelsea Guus Hiddink amesema timu yake inafaa kuonyesha hamu ya kutaka kushinda dhidi ya Manchester United uwanjani Old Trafford leo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Hiddink akitaka kikosi chake kuwa na hamu kushinda mchezo wa Man United, leo usiku

2452

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kocha wa muda wa Chelsea, Guus Hiddink (pichani) amesema anatamani kuiona timu yake ikiwa na hamu ya ushindi dhidi ya wapinzani wao Manchester United katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wingereza unaotarajiwa kuchezwa leo jumatatu katika uwanja wa Old Trafford.

Mholanzi huyo ambaye amechukua nafasi ya Jose Mourinho amesema mchezo unaozikutanisha timu hizo huwa ni mkubwa lakini mchezo wa leo utakuwa mkubwa zaidi hivyo angependa kuona kikosi chake kikiingia katika mchezo...

 

5 years ago

BeSoccer EN

Chelsea v Man Utd - as it happened

Chelsea v Man Utd - as it happened  BeSoccer EN'One of the better ones I've ever seen' - Solskjaer hails Fernandes' set piece delivery  Goal.comMan United captain Harry Maguire says kick at Michy Batshuayi was his 'natural reaction'  GIVEMESPORTRating Chelsea’s chances head-to-head against the contenders for top-four  The Pride of LondonWhat Solskjaer said on latest Raiola comments amid war of words with Man Utd boss  CaughtOffsideView Full coverage on Google...

 

9 years ago

BBCSwahili

Man Utd,Chelsea kujibwaga uwanjani

Ligi kuu ya England itaendelea kutimua vumbi leo kwa nyasi za viwanja saba kuwaka moto.

 

9 years ago

Global Publishers

Man Utd, Chelsea hakuna mbabe

Nemanja Matic wasted the best chance of the match by firing the ball over David de Gea's goal when he had plenty of time and space

 Nemanja Matic baada ya kukosa bao la wazi kipindi cha pili. The Serbia international reacts by putting his hand on his protective mask after seeing his effort sail over the woodwork at Old Trafford  Manchester United midfielder Ander Herrera came close to scoring from close range however Thibaut Courtois dived down to his left

Mchezaji kiungo wa  Manchester United, Ander Herreram akimuangalia kipa wa Chelsea baada ya kukosa bao.

Herrera hides his face in disappointment after squandering a golden opportunity for Manchester United during the second half 

 Herrera (kushoto) na  Nemanja Matic (kulia) wakitahayari baada ya shambulio ambalo halikuzaa matunda.

Belgium international Courtois was already diving the right way when he kept out Herrera's effort with minimal fuss

Rooney failed to test Courtois earlier on in the game when it looked like the United captain was going to put his side in the lead Manchester United goalkeeper De Gea stretches out his hands to deny fellow countryman Cesar Azpilicueta during the 0-0 draw De Gea also saved from fellow countryman Pedro before getting back on to his feet to keep out Azpilicueta Manchester United captain Rooney and Kurt Zouma compete for the ball as they do battle during an aerial challenge

Chelsea attacking midfielder Willian (left) and Morgan Schneiderlin (right) stretch as they compete for the ball during a challenge

  MANCHESTER UNITED (4-2-3-1): De Gea 8.5; Young 7, Smalling 6, Blind 5.5 (Jones 81), Darmian 6 (Borthwick-Jackson 70, 6.5); Schneiderlin 7, Schweinsteiger 6.5; Mata 6 (Depay...

 

10 years ago

StarTV

Man Utd, Chelsea hakuna mbabe, zatoka 1-1.

Nchini England Manchester United walitoka sare ya goli 1 -1 na Vijana kutoka darajani Chelsea katika uwanja wa Old Trafford.

 
Haikuchukua muda mwingi punde tu baada ya kuanza kwa kipute hicho, mchezaji mkongwe Didier Drogba akawainua mashabiki wa Chelsea baad ya kufunga goli zuri la kichwa.

 
Goli hili liliweza kudumu hadi dakika za nyongeza za mchezo huo na kuwapa matumaini mashabiki wa timu hiyo kuamini kuwa wangekusanya point zote tatu kutoka kwa Man U.

 
Dakika ya 93 ya mchezo Mholanzi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea washinda, Man Utd walazwa nyumbani

Chelsea wamerejelea ushindi baada ya kulaza Sunderland 3-1 mechi yao ya kwanza bila Mourinho lakini Man Utd wamepokezwa kichapo cha 2-1 na Norwich City.

 

9 years ago

BBCSwahili

Chelsea, Man Utd kushuka dimbani EPL

Ligi Kuu ya Uingereza itarejelewa leo kwa mechi saba, Chelsea na Manchester United zikiwa miongoni mwa klabu zitakazocheza nyumbani.

 

11 years ago

Mwananchi

Arsenal, Man Utd, City, Chelsea presha juu

England Wakati ratiba ya hatua ya mtoano wa Ligi ya Mabingwa inapangwa leo klabu nne za England, Chelsea, Manchester City, Arsenal na Manchester United zimekuwa kwenye presha kubwa kujua wapinzani wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani