Joto la uteuzi wabunge laanza kupanda Dodoma
Na Bakari Kimwanga, Dodoma
JOTO la uteuzi wa mwisho la kupata wagombea ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limezidi kupanda, huku chama hicho kikitangaza uamuzi mgumu kwa wagombea waliocheza rafu na hata kupindua matokeo.
Mbali na hayo, viongozi wa ngazi ya wilaya na mikoa wanaodaiwa kuwabeba kinyume na utaratibu nao wapo hatarini kuvuliwa nyadhifa zao.
Taarifa kutoka ndani ya CCM zililiambia MTANZANIA jana kuwa kikao cha Sekretarieti kilichokutana mjini hapa, kilijadili baadhi ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo09 Jul
Joto laanza kupanda CCM
Joto limepanda mjini hapa, ambapo mchujo wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), unaanza rasmi leo, pale Kamati Kuu (CC) itakapochuja majina ya watangaza nia 38 waliochukua na kurejesha fomu na kubakiza watano.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
JOTO LAZIDI KUPANDA MECHI YANGA NA SIMBA, DAKIKA 90 ZA MCHEZO KUAMUA NANI MBABE
KADRI muda unavyosonga mbele kuelekea mechi ya watani wa jadi Yanga na Simba itakayochezwa leo Machi 8 mwaka huu 2020, saa 11 jioni mashabiki lukuki wameanza kujitokeza katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku kila upande ukiwa umejawa na tambo za ushindi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tShVZUCVrOo/XmTWW3YbyFI/AAAAAAALh4E/XbXqsbpk_3w6FsN5oJJi3_rog8YycnBCwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-08%2Bat%2B13.15.42.jpeg)
Mechi ya Yanga na Simba ni moja ya mechi ambazo zimekuwa na utamaduni mkubwa wa kujaza mashabiki, wapenzi na wachama wa vilabu hivyo hasa kwa kuzingatia ni mechi ambayo hutawaliwa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Wabunge waota posho kupanda
JINAMIZI la kutaka posho nono kwa watu wanapopewa majukumu ya kufanya kazi mbalimbali za umma linazidi kuwaandama wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambapo juzi walitumiwa ujumbe kuwa zimeongezeka na...
11 years ago
GPLBUNGE MAALUMU LA KATIBA LAANZA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Bunge maalumu la katika laanza leo mjini dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-ir_AOfJUi_U/U-Ddn0-zBGI/AAAAAAAF9Uk/ti2_eOoVKsQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n2qO_ieDTIY/U-DdoC5hUII/AAAAAAAF9Uo/ylkLUIh67Jk/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--dVivowijw8/U-DRCvu8NHI/AAAAAAAF9S0/tBuiOeaHQLk/s72-c/360.jpg)
BUNGE MAALUM LA KATIBA LAANZA TENA LEO MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/--dVivowijw8/U-DRCvu8NHI/AAAAAAAF9S0/tBuiOeaHQLk/s1600/360.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Q_2V2FO8hcE/U-DRDsagbeI/AAAAAAAF9S4/qeL5Q3y6VdU/s1600/363.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_KEK5muhwY/U-DRIVe5K4I/AAAAAAAF9TE/57vXhwLzzoU/s1600/348.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HiPEHPqxALI/U-DRIYm6F5I/AAAAAAAF9TI/_gFnstXAjgw/s1600/354.jpg)
10 years ago
Habarileo04 Aug
CCM: Tutakuwa makini uteuzi wabunge
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishi, utazingatia yale yaliyofanyika katika uteuzi wa mgombea wao wa urais, na kusisitiza kuwa kuongoza kura za maoni sio mwisho wa safari, bali kigezo cha kuelekea katika uteuzi.