Uteuzi wa Kikwete waikoroga CCM
>Uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuwaacha katika Baraza la Mawaziri, mawaziri wote waliotajwa na CCM kuwa wameshindwa kutekeleza majukumu yao umekichanganya chama hicho, baada ya jana kusema kuwa hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya mawaziri hao na wengine, iwapo watashindwa kurekebisha upungufu wa kiutendaji unaozikabili wizara zao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_69WFUiNhVk/default.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Kikwete afanya uteuzi Mambo ya Ndani
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Seperatus Fella kuwa Katibu wa Sekretarieti ya Kamati ya Kuzuia Biashara Haramu ya Binadamu. Kabla ya uteuzi huo, Fella alikuwa Kaimu Katibu wa Kamati hiyo na uteuzi wake ulianzia Agosti mwaka huu.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-82WxwneCgwg/ViVNLEM5EGI/AAAAAAAIA-g/ivm6JYEqvjk/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi katika Mahakama kama ifuatavyo;Rais amemteua Bi. Katarina Revocati kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania (Chief Registrar). Kabla ya uteuzi huu, Bi. Revocati alikuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani.
Rais pia amemteua Ndugu John Rugalema Kahyoza kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani na kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s72-c/images%2B(1).jpg)
RAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI WA VIONGOZI MBALIMBALI
![](http://2.bp.blogspot.com/-OgbrNntxtQE/VIqTq0kqqnI/AAAAAAAG2so/Rfj29JoGY1I/s1600/images%2B(1).jpg)
10 years ago
StarTV17 Oct
CCM yatefanya uteuzi wa makatibu wa Wilaya 27.
Na Blaya Moses, Dodoma.
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi ccm imeendelea na kikao chake mjini dodoma kwa kuwateua makatibu wa wilaya ishirinini na saba kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wengine kufariki dunia na kumaliza muda wao wa utumishi ndani ya chama
Aidha kikao hicho pia kimejadili namna chama hicho kitakavyojipanga ili kuhakikisha kinaibuka na ushindi katika uchaguzi wa seriakli za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwezi Disemba mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Pinda aionya CCM uteuzi wa wagombea
10 years ago
Habarileo04 Aug
CCM: Tutakuwa makini uteuzi wabunge
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uteuzi wa wagombea ubunge na uwakilishi, utazingatia yale yaliyofanyika katika uteuzi wa mgombea wao wa urais, na kusisitiza kuwa kuongoza kura za maoni sio mwisho wa safari, bali kigezo cha kuelekea katika uteuzi.
11 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi24 Oct