Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tusikubali kuipoteza michezo yetu ya jadi

Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo mbalimbali katika makabila yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

MTAZAMO : Wako wapi wanamichezo wa michezo yetu ya jadi?

Kutokana na umuhimu wa michezo kwa jamii katika kila kipindi cha historia ya binadamu, Watanzania nao pia walikuwa wakishiriki katika michezo mbalimbali nchini katika makabila yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Michezo iwe sehemu ya maisha yetu

Kwa muda mrefu Serikali ya Tanzania imekuwa ikishindwa kutenga fungu la kuendeleza michezo.

 

11 years ago

Mwananchi

Maandalizi yetu michezo ya Madola yanatia shaka

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola utakaofanyika Julai 23.

 

10 years ago

Mwananchi

Tusikubali kamwe kugeuzwa karai la zege 2015

Hakuna ubishi waandishi wa habari wana nafasi kubwa sana ya kuipatia jamii viongozi bora na sio bora viongozi, kama wataweka mbele uzalendo na kuacha kuchukua hongo kutoka kwa wagombea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015.

 

10 years ago

Mwananchi

Tusikubali kuligawa Taifa kwa misingi ya dini

Waasisi wa Taifa la Tanzania, walifanikiwa kujenga misingi imara ya kutowagawa Watanzania katika misingi ya dini, makabila na rangi.

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.

 Msajili wa Vyama vya  Siasa Jaji Francis Mutungi  akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya   utofauti wa itikadi wa vyama ndiyo ukomavu wa demokrasia nchini hivyo ni jambo la busara kuvumiliana na kufanya siasa za kistaarabu, ameyasema hayo wakati  wa  kikao hicho kimefanyika leo jijini Dar es Salaam kulia ni Balozi wa Amani Mrisho Mpoto na kushoto ni Balozi wa Amani Christina Shusho. Balozi wa Amani Mrisho Mpoto akifafanua jambo katika kikao hicho leo jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Ufisadi wa $600m hati fungani za Serikali: Tusikubali ya Rada, hatua zichukuliwe

Simon Bowers Tweets

Taasisi ya Serious Fraud Office ya Uingereza ( SFO ) inafanya mazungumzo na Benki ya Standard Group ya Afrika ya Kusini Lakini iliyoorodheshwa katika soko la hisa ya Uingereza ( London Stock Exchange ) ili kumalizana kuhusu tuhuma za rushwa katika ununuzi wa hati fungani za Serikali ya Tanzania yenye thamani ya dola za kimarekani milioni Mia Sita ( $ 600m ). Mazungumzo hayo yanafanywa mbele ya Jaji katika mji wa London.

Ndugu wanahabari, ni jambo la kawaida kwa serikali yoyote duniani kuuza...

 

10 years ago

Vijimambo

JOHN BOCCO AFICHUA SIRI YA TAIFA STARS KUBORONGA, ASEMA; "TUSIKUBALI KUPELEKWA"


"Nikiwa kama mchezaji waki TANZANIA ninaecheza ligi ya hapa nyumbani na nikiwa mmoja wa wachezaji katika Timu ya Taifa ya kizazi hiki cha sasa wa Mudamrefu. Naandika hivi nikiwa na huzuni na masikitiko makubwa juu ya mpira wetu wa TANZANIA kwa ujumla kuanzia club zetu, ligi yetu na mpaka kwenye Timu ya TAIFA 'TAIFA STARS'.Sijaandika ivi kwania ya kufundisha wala kukosoa MSHABIKI, KIONGOZI WA MPIRA, VILABU VYA TANZANIA, SHIRIKISHO LA MPIRA WA TANZANIA na wala TIMU YETU YA TAIFA YA MPIRA WA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani