Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwaka huu kamwe sitausahau - Carlo Ancelotti

Real Madrid imefanikiwa kufunga jumla ya magoli 178 kwenye mashindano yote na kuweka rekodi ya kufunga mabao mengi kwenye mwaka mmoja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Carlo Ancelotti atimuliwa,Real Madrid

Hatimaye miamba ya soka nchini Hispania Real Madrid imemtimua kocha wa timu hiyo Carlo Ancelotti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Carlo Ancelotti amkemea wakala wa Bale

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid amemtaka ajenti wa mchezaji Gareth Bale kufunga mdomo wake baada ya kusema kuwa wachezaji wenzake hawampigi pasii vya kutosha.

 

5 years ago

FOX Sports Asia

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return

Chelsea 4-0 Everton: Carlo Ancelotti swept aside on Stamford Bridge return  FOX Sports AsiaAncelotti succumbs to worst-ever defeat as former club Chelsea thrash Everton  Goal.comEPL Winners and Losers After Sunday's 2020 Week 29 Premier League Results  Bleacher ReportMatch report: Chelsea 4 Everton 0  Chelsea FCRoy Keane warns Carlo Ancelotti about Everton job in damning assessment of Chelsea loss  Daily StarView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Liverpool Echo

'He was right' - Carlo Ancelotti details private conversation with Liverpool boss Jurgen Klopp

'He was right' - Carlo Ancelotti details private conversation with Liverpool boss Jurgen Klopp  Liverpool EchoJurgen Klopp makes coronavirus admission as he explains Liverpool's Champions League loss  Mirror OnlineCoronavirus Spain: Atletico Madrid announce wage cuts and temporary redundancies  Daily MailAtlético Madrid officially announce pay cuts  Into The CalderonAtlético Madrid and Espanyol join Barcelona in cutting wages  The GuardianView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ancelotti:Nikifutwa nitapumzika mwaka 1

Mkufunzi wa kilabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kuwa atachukua likizo ya mwaka mmoja iwapo atafutwa kazi na kilabu hiyo.

 

11 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu

DSC07622

Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.

DSC07610

Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi  ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.

DSC07617

Mbunge wa jimbo la...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili wa kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar,kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu

Mkutano mkubwa wa Kimataifa wa Wafadhili { Donor Conference } kwa ajili ya kustawisha Maendeleo ya Kiuchumi na Kijamii ya Zanzibar unatarajiwa kufanyika robo mwaka ya mwisho ya mwaka huu hapa Zanzibar baada kukamilika kwa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Mkutano huo utakofadhiliwa na Serikali ya Oman unatatarajiwa pia kujumuisha Wawekezaji wa sekta ya fedha na uchumi kutoka Mataifa na Taasisi tofauti Duniani . Mjumbe Maalum wa Serikali ya Oman Bwana Yahya Al – Ureim alieleza...

 

10 years ago

Dewji Blog

Prof Mwandosya; Mwaka 2005 nilikuwa wa tatu mwaka huu ikulu zamu yangu, ataka wagombea wenzake wasiogope kuelezwa maovu

Waziri asiye na Wizara maalum Prof Mark Mwandosya akiwapungua mkono baadhi ya wahudumu wa uwanja wa Ndege wa Nduli Iringa wakati akiondoka mkoani Iringa kuelekea mkoani Tabora kutafuta  wadhamini kwa ndege hiyo ya kukodi. Waziri Prof Mwandosya  akitafakari jambo. Dereva  wa gari la Prof Mwandosya  Iringa akipata picha ya kumbukumbu na kuagana na rubani wa ndege aliyokodi Waziri huyo. Wadhamini wa Prof Mwandosya  wakiagana na waziri huyo. Waziri Prof. Mwandosya  na mkewe akishuka...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Huu ni mwaka dume!

Na Rashid Abdallah Ndio! Ni kweli! Halinashaka kabisa! Kuwa CCM na raisi Jakaya na watangulizi wake wameshindwa kabisa kuikwamua Tanzania. Kama ni jahazi basi tungesema jahazi la CCM limelala upande mmoja na wala si ajabu kuwa […]

The post Huu ni mwaka dume! appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani